المدة الزمنية 18:28

WATALII WAZIDI KUMIMINIKA TANZANIA / MAANDALIZI MAONESHO YA UTALII KIMATAIFA KUFANYIKA JUNI MWANZA

بواسطة GSengo
269 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2020/03/05

Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamis Kigwangalla, amesema wizara hiyo kwa mwaka 2018 pekee imepokea watalii milioni 1.5 walioingia na kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo nchini ikiwemo mbuga za wanyama. Kauli hiyo ameitoa wakati wa uzinduzi wa maandalizi wa maonesho ya kimataifa ya Utalii kwenye Kanda ya maziwa makuu yanayotarajiwa kufanyika jijini Mwanza kuanzia Juni 19 hadi 21 mwaka huu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0