المدة الزمنية 10:2

DODOMA: WAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATENDAJI WIZARA YA FEDHA, AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE

بواسطة Habari PopoTe
178 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/05/28

#DODOMA: WAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATENDAJI WIZARA YA FEDHA, AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE.. WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi pamoja na baadhi ya watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma zinazowakabili. Akizungumza katika Kikao Kazi na Waziri wa Fedha na Mipango, Kaibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu na Watendaji Waandamizi wa Wizara hiyo kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma Mei 27, 2021, Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna wa Polisi CP Salum Rashid Hamdun kufanya uchunguzi kuhusu tuhuma hizo na ikithibitika kwamba tuhuma si za kweli wahusika watarejeshwa kazini. Majaliwa Aagiza Uchunguzi Watendaji Wizara Ya Fedha

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1