Kwenye MadeInTanzania wiki hii tumemulika maonyesho ya viwanda ya wanawake walioamua kujitosa kwenye ulingo wa MadeinTanzania yanayofanyika kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama.
Kutana na chama cha Wanawake na wanawake mbalimbali ambao wanamiliki viwanda vidogo vidogo na kufahamu juhudi na mafanikio yao katika kukuza biashara ndogo ndogo na kuleta faida kwa Wanawake.
Usikose kuangalia kupitia Clouds TV jumatano hii saa 2:30 usiku.