المدة الزمنية 1:40

Polisi Apigwa Na Umma, Nakuru

بواسطة Citizen TV Kenya
217 241 مشاهدة
0
336
تم نشره في 2014/10/02

Afisa mmoja wa polisi mjini Nakuru aliponea kifo baada ya kupigwa na umati. Inadaiwa kuwa afisa huyo alimsukuma kondakta mmoja barabarani baada ya kuzozana naye na kondkta huyo akakanyagwa na gari na kujeruhiwa. Tom wanjala na maelezo zaidi.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 18