Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijua…
Siri za bibilia leo tuna muongozo ambao utakusaidia au itasaidia familia yako.
Biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa Roho. Watu hawa wamefungwa kwenye magereza na Ibilisi.
Tutambue ya kuwa Yesu aliposema amekuja kutuokoa hii inamaanisha kwamba kuna mahali ambako tusingeweza kujikwamua wenyewe bila nguvu yake yeye mwenywe kuingia kati yetu.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 240
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MAOMBI YA KUMTEKETEZA SHETANI NA NGUVU ZA GIZA: