المدة الزمنية 4:40

KUMBUKIZI: MAGUFULI ALIVYOMMWAGIA SIFA SAMIA MBELE YA WAJUMBE ANA HESHIMA HATA SURA YAKE NZURI

بواسطة Millard Ayo
176 433 مشاهدة
0
773
تم نشره في 2021/03/19

NI Mwaka 2020 ambapo aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt John Bombe Magufuli wakati wa Kampeni kwenye kikao cha CCM kilichofanyika mkoani Dodoma alisimama na kumnadi ama kutoa sifa za Makamu wake Mama Samia Suluhu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 82