المدة الزمنية 22:29

PART 2:MAAJABU YA PADRE MTEMBEA PEKU/NILIKANYAGA NYOKA HATARI NA NNGE/SIJAWAI KUTUMIA SIMU WALARADIO

بواسطة Breez Online Tv
70 054 مشاهدة
0
510
تم نشره في 2020/09/23

PART 1:MAAJABU YA PADRE MTEMBEA PEKU/NILIKANYAGA NYOKA HATARI NA NNGE/SIJAWAI KUTUMIA SIMU WALARADIO Hutojuta Kufuatilia Historia ya Padre Rikardo Mkurugenzi wa Alpha Seconday Iliyoko Morogoro Nchini Tanzania Aliwai kutamani kuweka MABOMU Kwenye Majengo ya Serikali ili ayalipue/Amekuwa Maarufu zaidi kutokana na hali yake ya kutovaa Viatu,hatumii simu na wala Asikilizi Radio Licha ya Ukweli kwamba ni Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo cha Radio Ukweli iliyoko Mkoani Morogoro. Ana Mambo Mengi sana ambayo Utafurahi kuyafahamu na Hakika Utajifunza pia. Muendelezo wa Story hii Unapatikana Kupitia #BreezOnlineTv

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 135