Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametoa ufafanuzi bungeni kuhusiana na tukio la kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu , kupotea kwa watu mbalimbali akiwemo Azory Gwanda na Ben Saanane pamoja na matukio ya utekaji.
Msikilize