المدة الزمنية 7:40

Kupigwa Risasi Tundu Lissu | Maelezo ya Waziri Bungeni

بواسطة CLOUDSMEDIA
166 745 مشاهدة
0
460
تم نشره في 2019/04/26

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametoa ufafanuzi bungeni kuhusiana na tukio la kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu , kupotea kwa watu mbalimbali akiwemo Azory Gwanda na Ben Saanane pamoja na matukio ya utekaji. Msikilize

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 345