المدة الزمنية 3:33

Mnara uliojengwa kwa shilingi milioni 70 Geita kufanyiwa ukarabati

بواسطة Azam TV
6 153 مشاهدة
0
22
تم نشره في 2018/12/08

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Geita kwa pamoja limeazimia kuufanyia ukarabati mnara ulioko katikati ya Mji wa Geita uliojengwa kwa thamani ya Shilingi Milioni 70 na kukamilika mwezi mmoja uliopita.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 5