المدة الزمنية 10:28

RPC Muroto kaja na hii nyingine, Madereva Dodoma wapata tabu sana

بواسطة Millard Ayo
340 921 مشاهدة
0
1.2 K
تم نشره في 2018/07/05

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma likiongozwa na RPC Gilles Muroto limeanza operation ya kukagua na kukamata madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani pamoja na wenye magari mabovu ambapo hadi sasa zaidi ya magari 30 yakiwa yamekamatwa huku wahusika wakitarajiwa kufikishwa Mahakamani muda wowote ili waweze kushugulikiwa kwa mujibu wa sheria.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 393