المدة الزمنية 1:12

Utani wa Spika Ndugai kwa Naibu Spika Dr Tulia

بواسطة Millard Ayo
74 835 مشاهدة
0
270
تم نشره في 2018/05/18

May 18, 2018 Kikao cha thelathini na mbili cha Bunge la kumi na moja kimeendelea Bungeni Dodoma ambapo Wabunge wanajadili mabeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, katika kipindi cha maswali na majibu Spika wa Bunge Job Ndugai akaamua kuwafurahisha wabunge wake kwa utani kuhusu Uvaaji wa Kanzu na Hijabu huku akimtolea mfano Naibu wake Dr Tulia Ackson.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 18