Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara, umegubikwa na maneno mengi sana ya kukatisha tamaa. Maneno kama kuku wa kienyeji wanakua taratibu sana, hawana uzito mkubwa, wanataga mayai machache, gharama za chakula zinaenda juu zaidi.
Wapo waliokata tamaa kwa kusikiliza maneno hayo, lakini tupo tulioamua kuziba masikio na kukomaa kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara na inatulipa.
Niliamua kufanya utafiti kupitia maneno yanayo sambaa kuhusu ufugaji kuku wa kienyeji na kile nilichokipa nimekielezea kwenye video hii.
Tazama mpaka mwisho ujifunze mengi kutoka changamkia fursa.
#kukuwakienyejiwanalipa
#ufugajiwakukuwakienyejikibiashara
#kukuwakienyejinibiashara
@ggmmjasiliamalionline2746منذ 3 سنواتNasikia watu husema unaweza ukajenga bwawa chini la samaki kisha juu unaweza kuweka banda la kuku wakimaanisha kwamba kinyesi cha kuku ni chakula kwa kambale ikoje hii mkuu 3
@
@user-qg8ic3oc5yقبل 9 أشهرUkuna changa Moto yeyote kwenye kuku wakienyeji
@
@ggmmjasiliamalionline2746منذ 3 سنواتYani kila napotafuta elimu nzuri kuhusu ufugaji lazm nikutane na changamkia fursa 2
@
@denissemwenda4037منذ 2 سنواتNaomba kuuliza swali hili, kuna uwezekano wa kuchanganya chanjo za chupa mbili tofauti yaan kama gumboro na new castel na kuwapa kwapamoja au kuna madhara id="hidden2" class="buttons"> gani zikichanganywa.?? Maana tunaona kuna tatu moja sikuhizi sasa nauliza kama havyo inaweze kana ....وسعت1
@
@princeclever3774منذ 3 سنواتHaujawai kuniacha empty broo thanks. kwa kupitia changamkia fursa nishaanza ufugaji wa kuku 5
@
@VickyMsuya-ho1ifقبل 6 أشهرTuandikie namba nahitaji vifaranga vya croiler
@
@seifsaidi9911منذ 3 سنواتShukran sana , Je kuna fursa ya kuwekeza katika hii biashara ya kufuga kuku wa kienyeji. 2
@
@aurelianimtundu852منذ 2 سنواتTafadhari naomba namba ya cm nahitaj vifaranga
@
@lawrence8597منذ 3 سنواتumesema una kitabu, je, kitabu ni silingi ngapi na kinapatikana wapi?
@
@olelilawola8449منذ 3 سنواتsafi kwa elimu nzuri na endelevu, tuwekee basi mawasiliano ya wauzaji wa concetrates 1
@
@julianaharrison4356منذ 3 سنواتNafuga kuku wa kienyeji wanataga mayai 12,15,18, wengine mpaka 20 kuku wa kienyeji watu hawapi chakula ndio maana wanaona hawana faida 7
@
@nancylubango6394منذ 3 سنواتI want to join next classes plz when next?
@
@ramadhanijumalipala6635منذ 3 سنواتKipimo cha chakula kwa kuku wa kienyeji je ni sawa na kile cha broiler au chotara?
@
@geraldntalondo6110منذ 3 سنواتNitawapataje sasa hasa Wa mwezi mmoja na ni bei gani kwa kila kifaranga nataka 200.
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Nimeweza Kufuga Kuku wa Kienyeji Kibiashara, Usiache Kujaribu Hawa Kuku ni Biashara:
kitabu ni silingi ngapi na kinapatikana wapi?