Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima, amemuagiza Meneja wa Ruwasa mkoa wa Tanga kuhakikisha wanafanya mikakati kupata maji katika shule zote za wasichana zilizopo Mkoani humo.
Malima ameyasema hayo alipotembelea katika shule ya Wasichana Handeni na kukutana na Changamoto ya Maji.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SHULE ZA WASICHANA TANGA ZIWE NA MAJI.: