@elijahgikuyu9477منذ 5 سنواتBro you stand for the truth no matter what bigup , am your biggest fun in
@
@frankanthony8591منذ 5 سنواتAhsant Kaka Kama unamkubali gonga like tusonge mbele 81
@
@luthankings4358منذ 4 سنواتJamani leo ni sikunjema nadhani yesu ameshakwisha fufuka kama unakubaliana nami usiache ku like 1
@
@seifkhatib4512منذ 5 سنواتJamani naomba like japo kidogo kama mnamkubal huyu jamaa km nnavo mkubali mm 61
@
@joycemalongo9050منذ 5 سنواتThe best presenter in Tanzania and media presenter, Naomba like ya kutosha Jamani. 36
@
@hassanovajunior6972منذ 5 سنواتDaah aisee ubinadamu Kazi Shukran sana Genius Ananias Edgar Denis Mpagaze May God bless you guys 24
@
@benjaminmwiti8113منذ 4 سنواتMungu na akulinde kaka zababu Mungu anakutumia kuondoa ujinga kwa wanao kusikia 1
@
@damariszuckschwert9489منذ 5 سنواتI salute you for this.,wanawamaliza maskini in the name of Jesus, utafikiri Mungu hulipa ushuru mbinguni au pango la kulala. 7
@
@rehemafungo5042منذ 4 سنواتSio wote waniitao bwana wataurithi ufalme.thx ananias
@
@luthankings4358منذ 4 سنواتKaka kama unajiamini we nimwanaume uxiach ku like 1
@
@luthankings4358منذ 4 سنواتNdugu zang ninaiman ya kuwa mungu upo nasi katika pasaka hii 1
@alexanderbonnysimiyu8635منذ 5 سنواتSi ungwana hata kidogo kutazama na kujifunza Kisha uache ku-like ama kucomment 24
@
@lordreuben5787منذ 5 سنواتMungu awabariki sana muandaaji na mtangazaji mko vzur mnaitendea haki kipaji ambacho mungu kawapa,na kwa stahili hyo mnatuponya wengi hata bila ya nyie kujua 1
@
@kaundimemussa1187منذ 5 سنواتNaipenda sana sauti yako nasikilizaga story zako mpaka nalala usingizi 4
@
@onesmobruno4636منذ 4 سنواتYani nashindwa hata kufuatilia ishu ya corona19 muda wote ni huyu jamaa napenda sana stor zake zinafundisha vzr 1
@
@luthankings4358منذ 4 سنواتMaan mvua inanyesha ninaimani ni dalili njema lakini kama na wewe unaamini ni dalili njema uxiache ku like 1
@
@mathiaszakaria7052منذ 5 سنواتDahhhh Mungu atupiganie huduma za kiroho zimevamiwa na matapeli wanaojiita wachungaji na manabii
@
@sethnsohoye1220منذ 5 سنواتHongera kufanya kazi nzuri, Mungu aw naww kila wkt juu ya kazi yako hiyo. 9
@
@brayansteven2684منذ 5 سنواتVery nice asante sana brother kwa mafundisho mazur 1
@
@BenMula526منذ 5 سنواتBaba mwisho wa kihama tuta shagaa Mungu atusaidie ubarikiwe brother kaka
@
@mulirohilary209منذ 5 سنواتKweli Kabisa mpagaze tarsis za dini siku hizi balaa maisha mazuli ni ya waku wadini tuu asante
@
@grayrichard1815منذ 5 سنواتMi sitaki like zenu kwan n chakula au n malipo ? 3
@jacksonngusi4122منذ 5 سنواتAhsante sana kaka ujumbe mzuri mno Ubarikiwe 4
@
@richardswai5206منذ 5 سنواتIvi unajua annanis edga ungekuwa mchungaji au askofu wengi ungewaumbua xana maana xiku hiz makanixa ndy biaxhara. Kama unaamini ivo gonga like 2
@
@rehemamaduhu5642منذ 5 سنواتTena hilo la kanisani kama ukiwa na pesa unapokelewa tangu mlangoni na unaoneshwa kiti cha kukaa. Mbele kabisa ila ukiwa kapuku utaachwa utafute kiti kwa akili yako. Ukikosa ukae chini 5
@
@amosmahona433منذ 4 سنواتMnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni fanani kiukweli uko viZuri sana katika uwasilishaji wa simulizi yako
@
@onesmobruno4636منذ 4 سنواتYani naweka kila cku GB3 kwaajili ya huyu jamaa 2
@
@eliankya1991منذ 5 سنواتMessage sent Broo thanks for good Message 1
@
@hamzanasry8011منذ 4 سنواتYani umewachana kweli mwenye maskio ambiwi skia 1
@
@fadhilikazingo1261منذ 5 سنواتKaka yangu wa kibondo unanifrahisha sana 1
@
@johnny.j.nyondo1074منذ 4 سنواتSafira na anania lakini sio mimi hahahahaha 1
@
@ramaccr7525منذ 5 سنواتakuna mtangazaji kama ww Tanzania nzima 3
@
@suzybae1237منذ 5 سنواتKwel jmn napenda sana ujumbe wako mzuli 1
@
@thadeymallya2382منذ 5 سنواتApriciate you much bro.you are unique ever! 1
@
@barakajulius5938منذ 5 سنواتKaka nawewe unastahili kupewa tuzo ya heshima 5
@
@godfreymagoso5334منذ 5 سنواتIla waumini tujitafakali tunatumika kweli siku hizi kutokana na stresi zetu ,,, Mungu atunusuru 1
@
@francisjm7416منذ 4 سنواتNapenda sana makara yako hua naelimika sana
@
@davidmpiluka5224منذ 5 سنواتHapo sawa. Hakuna ubishi hapo. Anayebisha anyooshe mkono wake ili tuone ana akili ya namna gani? 1
@
@lilianakimaro4185منذ 5 سنواتMwezi wa 12 .20019 Bad tupo jmn 5
@
@ramadhankijana9442منذ 5 سنواتDah Kanisa kimbilio la kila mtu. Mungu awaona 4
@
@user-em6bg9ue2dمنذ 5 سنواتNapenda sana habarizako zinamafunzo sana 2
@
@dudleyjulius9187منذ 5 سنواتkaka ananias uko poa na mm pia nmtangazaji nataka kufanya kazi uhai media naomba namba zako tuongee plzzzzzz 7
@
@felixwao7274منذ 4 سنواتBro fungua kanisa mana dah we nizaidi ya wachungaji
@
@tuntufyekapesa3901منذ 5 سنواتAppreciate you bro.. Ila ishu ya Alph lukau I wish uifuatilie ile video full Sio clip tu iliyozagaa mitandaon. Sabab alivofika tu alisema huyu mtu yuko hai na hakusema amemfufua kabisa.. 2
@
@phedriclhusna3949منذ 5 سنواتAnanasi I wish nkuone yan ur voice so sweat 1
@
@godfreymagoso5334منذ 5 سنواتSidhani kama watakuelewa zaidi watasema wanapigwa vita,, na shetani anainuka ili kushindana na kalama zao,,, ila wajutafakali japo manyumbu (wagalatia) ni kufuata hata mpagani anaelewa kuliko manyumbu tusiochuja 1
@
@ndihunzefx_tz1174منذ 5 سنواتKwa mwenye maradhi ya KISUKARI NA PRESHA,nitafute kupitia whatsapp namba 0765871955, kuna uwezekano wa kupona kabisa! Kwa muda wa siku 14 tu! Kwa Uwezo wa M.Mungu,,,wahi sasa nafasi za Ofa ni chache.Ahsante
@
@cghmarcb6563منذ 4 سنواتKanisa skuizi ndio headquarters ya wahalifu
@
@onesmomasam1367منذ 5 سنواتIwafikie WA KKKT Niwahuni sanaaaaaaaaaaaaa!
@
@eunicechegeمنذ 4 سنواتWalihamisha mji wa serikali nasikia sasa uko Dodoma. Naweza penda ideological/geo discussion about that. 1
@
@mimiwewe3547منذ 5 سنواتHahah account yako feki ina followers wengi kuliko yako original 3
مقاطع الفيديو ذات الصلة على DENIS MPAGAZE-WATUMISHI WA MUNGU MJITATHIMINI:
Bad tupo jmn 5
Kanisa kimbilio la kila mtu.
Mungu awaona 4
Ila ishu ya Alph lukau I wish uifuatilie ile video full Sio clip tu iliyozagaa mitandaon.
Sabab alivofika tu alisema huyu mtu yuko hai na hakusema amemfufua kabisa.. 2