Katika Mpango Shirikishi na
Harakishi awamu ya pili dhidi ya afua za kinga za kinga
UVIKO-19, zinaelekezwa timu za afya katika Halmashauri na Mikoa kuendelea kuwatumia Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii ili kuendelea kuhamasisha na kuelimisha jamii juu ya hatua mbalimbali za kujikinga na UVIKO - 19 ikiwa ni pamoja matumizi ya chanjo.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SERIKALI KUZINDUA KAMPENI MAALUM DHIDI AFUA ZA KINGA YA UVIKO-19::