المدة الزمنية 3:57

SERIKALI KUZINDUA KAMPENI MAALUM DHIDI AFUA ZA KINGA YA UVIKO-19:

بواسطة SAVP TV
84 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/12/19

Katika Mpango Shirikishi na Harakishi awamu ya pili dhidi ya afua za kinga za kinga UVIKO-19, zinaelekezwa timu za afya katika Halmashauri na Mikoa kuendelea kuwatumia Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii ili kuendelea kuhamasisha na kuelimisha jamii juu ya hatua mbalimbali za kujikinga na UVIKO - 19 ikiwa ni pamoja matumizi ya chanjo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0