Wanafunzi wa kimataifa wanaosomea marekani na wanaopanga kuja kusomea hapa nchini pamoja na wazazi wao wameeleza kuridhika kutokana na uwamuzi wa utawala wa Rais Donald Trump kutozuia tena kuwapatia visa za masomo za F1.Idhaa ya #Kiswahili ya Sauti ya #Amerika #Washington.D.C #DunianiLeo #VOA #VOASwahili #Corona #Covid19. #DC
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على DL TRUMP ABABDILI MSIMAMO KUHUSU VISA ZA WANAFUNZI MAREKANI: