المدة الزمنية 56:59

MPAKA HOME YAZUA KASHESHE ‘BEI MBAYA’ KWA ESHA BUHETI

بواسطة Global TV Online
534 813 مشاهدة
0
1.8 K
تم نشره في 2017/08/10

SUBSCRIBE NOW: /user/uwazi1 KIPINDI kinachozidi kujizolea umaarufu mkubwa cha Mpaka Home kinachorushwa kila wiki kupitia channel hii namba moja, wiki hii kilikumbana na kasheshe kubwa, baada ya kumvamia msanii mkongwe, Esha Salim Kaombwe Buheti ‘Mtata’, usiku wa manane kwa lengo la kufanya naye mahojiano kama ilivyo ada yake, hivyo kuzua sekeseke la aina yake. Katika uvamizi huo, Esha Buheti ambaye ni mjamzito wa kujifungua wakati wowote, aligeuka mbogo na kumpa masharti mengi na magumu mtangazaji wa kipindi hicho. Hebu tazama mwenyewe ujionee kilichojiri.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 519