Subscribe /c/uwazi1
STAA kijana aliyetambulishwa rasmi kwenye ulimwengu wa filamu za Kibongo na aliyekuwa nguli wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba, Othman Yusuf ‘Patrick wa Kanumba’ amefunguka juu ya uvumi unaoenea ukidai yuko kwenye penzi zito na muigizaji mwenzake, Hannifa Daud ‘Jennifer wa Kanumba’ ambapo amekanusha vikali madai hayo.
Katika mazungumzo maalum na kipindi kinachojipatia umaarufu na kuvuna mashabiki kila kukicha cha Mpaka Home baada ya kuibukiwa nyumbani kwao usiku mnene, Patrick alikiri kusikia uvumi huo kupitia watu mbalimbali ambapo alisema yeye na Jennifer ni kama ndugu kwani hata familia zao zina uhusiano mzuri hivyo hawezi kufanya kitu cha ‘kijinga’ namna hiyo.
Twende pamoja umsikie Patrick alivyofunguka.
FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe /c/uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… /c/uwazi1/c/uwazi1/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli ..
@rahmahussein8139منذ 7 سنواتMay Allah continue to bless him and his family .Ameen 7
@
@swaumukassimu6474منذ 4 سنواتJamani we kaka Othman unajiheshim sana love it 1
@
@aldanaudana2633منذ 6 سنواتWatanzania wabara mna umoja tunawapendeni mnavopendana na kwa umoja wa kikiristo na waisilamu yaani kanumba kawachukua hawa waisilamu nae akiwa kiristiani namazikoni mnashirikiana mashallah
@
@saidsaid9463منذ 7 سنواتMbona mtangazaji yuko vizuri2 Ila anakigugumizi ndio kazi hakuna mkamilifu 52
@
@babycandy1153منذ 7 سنواتMashaa Allah mama Patrick Allah awawezeshe.InshaaAllah good advice I like it. 3
@
@loicechemutai9228منذ 7 سنواتHongera xana Patrick kwa kazi nzuri kila la heri.. 6
@
@sheymahabdulwahidkhalid6355منذ 7 سنواتmashallah Hongera sana Patrick umekuwa baba la Baba nimependa maongezi yako umeongea vizuli sana upo sahihi kabisa mie nakuombea kheri id="hidden2" class="buttons"> mwenyezi mungu Akuongoze kwa kila Atua nikijana mmoja msikivu miii nimekupendaa bure mungu Akulinde ....وسعت
@
@anneemmanuel7363منذ 6 سنواتWoow paty c unajua kujieleza jamani hongera
@
@chrstnmuthoki697منذ 6 سنواتPatrick hongera sana . even ua response express es ua personality.
@
@hellenjohn4472منذ 5 سنواتJamani huyu mtangazaji sijawah choka kusikiliza kipindi 3
@
@clariritha5898منذ 7 سنواتJamani kweli sikukuwa nafahamu kuwa njo mama yake nakina !!!! Napenda sana 8
@tinyaanosiatha1118منذ 6 سنواتSafi sana patrick unakula kujieza good job
@
@gloryherrymbwilo5429منذ 6 سنواتNdugu mtangazaji nimekupenda bure.Patrick pia unajieleza vizuri sanaa
@
@shubaibe5802منذ 7 سنواتmaashaallah Patrick mungu akuongoze inshallah
@
@jiongezemanyama840منذ 7 سنواتhongera mama Patrick umekuza.mungu amubariki
@
@georgekitaponda336منذ 6 سنواتuko vizuri mtangazaji achan n matusi yao
@
@deboramark1800منذ 6 سنواتcongrats Othman UE knw how to explain ur self big up 4
@
@mdzainb3722منذ 4 سنواتHeeee,,,,,kumbe ndo mama yake ndo najua leo mweee honfera sana mama kwa kukuza
@
@dorahdeus6757منذ 6 سنواتjamn we mama mdhuri kumbe ndo mama p jmn nakupenda wew na mwanao mwaaaamwaaamwaaaaaaa
@
@amanside3691منذ 5 سنواتPatrick umekua jamani allah akukuze ktk malez bora inshaallah 1
@
@gilbertmwasenga2109منذ 6 سنواتJamani mpunguze ukali wa vichwa vya habari mmesema aweka wazi penzi lake 2
@
@nabintukadende2388منذ 7 سنواتbravo Patrick. uyu mtungazaji ana kazania sana nini.. 2
@
@mwanaidimwabitibongo8724منذ 7 سنواتhongera kk,yani cjui mkoje nyinyi yani mnataka muwaingize kwa hayo magege yenu komeni mmezidi
@
@kibongobongo4608منذ 6 سنواتWatangazaji sometimes muwe na heshima kwasababu huyu unamuuliza masuala ya mapenzi bila kuwa na hisia ya wazazi wao sio vizuri kwakweli. Nauhakika wazazi hawajapenda.
@
@salmamassoud9863منذ 6 سنواتwallah me nilikua cjui km mwanae honger mama
@
@barakaisaya3109منذ 6 سنواتUmefanana na ndemla dogo nakupenda sana
@
@rachelmaneno9785منذ 6 سنواتduuh Patrick umekuaaa! nimekupenda bureee
@
@alineshabani158منذ 7 سنواتi like your answers Patrick you are smart 1
@
@mbogabahati8599منذ 7 سنواتKumbe huyu mama anakuaga mamaake na Patrick nawapendaga sana Mungu awalinde 2
@
@nyambinyambi4781منذ 5 سنواتSafi sana mtangazaji napendaga sana kufatiliaga izi story zenu na nacheka sana nimependa sana na nimecheka sanasafi mtangazaji uko vizur kugugumi id="hidden4" class="buttons">zi ni mipango ya Mungu ila watu wanajiona kama wameumbika vile,lkni safar bado Nacheka jibu la Patrick eti Mama yake na Mama yangu wanaundugu wa kichini chini ....وسعت
@davidphares5316منذ 7 سنواتhuyu kaka mtangazaji mnamuonea sana kumtukana kwa nn mna kauli chafu hivyo mbona anatangaza vizuri na anauliza maswali ya kawaida tu mi nampenda sana huyu id="hidden5" class="buttons"> kaka kama mtu unamchukia chamba moto uungue mavuzi ndio tujue kama unamchukia ....وسعت67
@
@AhmadAhmad-wl7zvمنذ 5 سنواتwa tz punguzeni kufatilia mambo ya mtu plzzz
@
@user-ed1lo4mu2cمنذ 7 سنواتMashaallah jaman kumbe muislam hongera kijana 26
@
@josemagangaduhkamasaidndem8639منذ 6 سنواتDuh Patrick anafanana na said ndemla wa simba 1
@
@tinyaanosiatha1118منذ 6 سنواتsana patrick unajua kujieleza good job
@
@ostazclassic3370منذ 7 سنواتHahahahaha nampenda sana huyu mtangazaji anauliza vizuri sana mpaka ndani 19
@
@fatumavip2688منذ 6 سنوات David phares acha kunichekesha uwiiiiiiii we noma tena hilo neno 1
@
@ummybaby1174منذ 7 سنواتkayamba vitalis ndy hivyo mie nawashangaa kumkosoa m2 Kama vile hawajui hiyo hali m2 yeyote anaweza zaliwa nayo au kukipta hata kwa maradh m2 akiugua sn id="hidden6" class="buttons"> tena mie naona bora hata huyo anaafadhal sn wapo wengne ni too much nakuhusu kuhoj cjaona cha ajabu yupo sahihi 2 coz hivyo v2 vinasemekana nihivyo. ....وسعت4
@
@jennyabdalla3204منذ 6 سنواتdah! Jmn kaongea kwa huzun ila uko vzur
@
@amourdelicieuse2961منذ 4 سنواتWe mutangazaji wa global Tv kwanini kufika usiku sana
@
@rosemarybenjamin5866منذ 7 سنواتMaybe mbk leo hiii the Great Kanumba angekuwepo mbk leo hii ungekuwa mbali saan Patrick ❤ 5
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MPAKA HOME: Patrick Kanumba Afungukia Penzi Lake na Jennifer Kanumba:
nimependa maongezi yako umeongea vizuli sana upo sahihi kabisa
mie nakuombea kheri id="hidden2" class="buttons"> mwenyezi mungu Akuongoze kwa kila Atua
nikijana mmoja msikivu miii nimekupendaa bure mungu Akulinde ....وسعت
acha kunichekesha uwiiiiiiii we noma tena hilo neno 1