Mgonjwa wa saratani kwa miaka sita, amekatwa ulimi, sasa imesambaa na kumtoboa shingo, anakula kwa mateso, haijui kesho yake, Mkewe aomba msaada wa kupata mtaji wa kufanya biashara ili kujikimu na kumsaidia mgonjwa.Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24Mkasa #Saratani
@macleanmwaijonga7137منذ 5 سنواتAma kweli haya maisha huwezi jua kesho yako. Mama kwakweli umejitahidi sana kumtuza mzee - Mungu atakupa thawabu kwakweli una moyo wa kipekee. 6
@mozasaid3869منذ 5 سنواتPole sana dada Mwenyezi mungu azidi kukupa imani na subra katka mtihani ulionao, 1
@
@saidmakumlo8930منذ 5 سنواتPole sana Dada angu ALLAH atawafanyia wepesi maradhi ni ibaada 3
@
@shanimbaruku2071منذ 5 سنواتPole mpenzi Mungu azidi kukupa subra umlee mume wako ln Shaa Allah atapona 2
@
@nadiyakisho2178منذ 5 سنواتdaaah jaman mateso unayo pitia kk namin Allah atakupatia faraj innshallah utapon hongera mama kwa ujasir na huruma kwan niwachache sn wenye moyo km wk mungu wafanyie wepes 1
@
@promisesebirayi9565منذ 4 سنواتpole sana mungu atakusaidia don't give up just trust God
@
@Emedroadtocanadaمنذ 5 سنواتmwenye afya njema mshkur sana allah kwa vitendo vyema 2
@
@josephenmtau6723منذ 5 سنواتPole sana katika jina la yesu mwenyezi mungu akufanyie wepesi.
@
@sadiaabed6687منذ 5 سنواتPole dada mungu akujaalie mlinde mumeo inshaallah allah atakulipa nikawaida kampuni haikujui kukitokewa na matatizo kama hao wanakujuwa ukiwa mzima
@
@nadiyakisho2178منذ 5 سنواتhayo ndo mapenzi ya dhat ww ni mfano wakuigwa jaman hongera ten mama 3
@
@khatibabdallah6185منذ 5 سنواتPole sana sheikh, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone
@
@halemakoke727منذ 5 سنواتInshaaa Allah mama kwa kutupa nguvu ss wanawk wenzio Allah azidi kukup moyo huo ya rabbi mponye baba huyu
@
@chaumaraali8201منذ 5 سنواتpole Sana ndo mitihani endelea kuvut subra
@
@ringoaskali7625منذ 5 سنواتPole sana unle utapona lakini kwanini serikali hamsaidii vipi wabunge wakuu wa mikoa mko wapi jamani msaidieni jamani 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على INAUMIZA Baada ya kukatwa Ulimi, Saratani yatoboa Shingo | Chakula kinatoka | Mkewe aomba msaada: