Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 071 409
+255 773 878 523
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Maryam Kidiko
cc: Abdillahi
Camera Department"
Abdillahi
Mohammed Abeid
Editors:
Mohammed Abeid
Ali Hassira
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
/watch/I-0qPiHzwZBzq/watch/AGn4b51VuC_V4
@hanifatanzania7258منذ 4 سنواتMwinyi maashallah na mwalim Sef Muwekitukimoja Allah awasimamie wote msafianenia na Muongize KWA haki lnshallah 6
@
@procurementmanager1289منذ 4 سنواتMashaalah.m/mungu atatusahilishia kwa yote mazito na atuongoze ktk njia ya haki ..Inshaalah Ameen 3
@
@jumamzee6999منذ 4 سنواتMashaAllah Allah akufanyieni wepesi katika uongozi wenu mwema Ameen 5
@
@munirmgeni5280منذ 4 سنواتMungu atupe kheri na neema nyingi katika nchi yetu 5
@
@hamudseifمنذ 4 سنواتWatuletee mashekhe wa uamsho ni muhimu kuliko chochote, viongoz madhalimu sana awa wanajivika vaz la kutuhadaa cc akat wameficha uchafu wa dhulma kwnye vifua vyao, Allah atuklipen kuanzia apapa dunian insha allah 4
@
@simbalion2871منذ 4 سنواتNakupenda my mwinyi naomba muwatoemashekhe ili furaha izidi Allah mjuzi zaidi
@
@jumammanga675منذ 4 سنواتHongera sana ras wetu mungu akujalie malengo yako kwa wananchi ufanikiwe mungu akubarik inshaallha 3
@
@sheikhajaffar6975منذ 4 سنواتDr Hussein Mwinyi na wenzio ili tuzidishe upendo kwenu mtutolee masheikh wetu nje ndio dua yenu itafika juu vinginevyo haivuki hata mnara wenu wa kisonge id="hidden2" class="buttons"> mungu anawalaani na uongozi wenu hilo ni jukumu lenu musipo watowa mungu azidi kutupa laana zake mpaka kitasimama kiama ....وسعت
@
@seakodammam2285منذ 4 سنواتNa mashehe muwatoe kama munataka wazanzibar wa kubali kuwa Nia zenu ni njema 6
@
@kanaanrajab8990منذ 4 سنواتA.ALEIKUM KIUKWELI INAPENDEZA SANA WANZANZIBAR KUWA KITU KIMOJA LOVELY YOU ALL ALLAH TULINDE NA FITNA ZA NDANI NA NJE4
@
@skkonthetop8876منذ 4 سنواتMashaa Allah Tabaraka Wataalah. Kwa Khutba Nzuri na ya Maana sana Ya MH. Dr. Rais Hussain Wa Zanzibar.
@
@aishasaid6749منذ 4 سنواتIn shaa Allah umoja huo udumu sio ukifika uchaguzi munavaa ngozi za chui mnatuona mbwa 3
@
@abduliraimmushi2224منذ 4 سنواتMashaa Allah Kaka Mwinyi Uhoo Ndiyo Uraisi
@saidamohd1232منذ 4 سنواتNakupenda mpaka basi mheshimiwa raisi wangu kumbe sijafanya kosa kukupa kura yangu! Mungu akupe maisha marefu akupe wepesi na awashinde na walegee hao wasioipenda nchi yetu.Nakutakia kila la kheri
@
@mohammedmbarouk5729منذ 4 سنواتKila la kheri mh.mteule wetu wa kule dodoma,mungu akusimamieni ktk kila hatua mtakayopitia ktk hayo maendeleo ya wazanzibar wanyonge
@
@gadielmungure7029منذ 4 سنواتHongera mh rais mwinyi na seifu maalim kwa maridhiano na kuunganisha wazanzibar kuwa wamoja umeonesha uongozi bora si bora uongozi
@
@muhammadmuhammad5043منذ 4 سنواتMashaallah Allah Akujaaliye Uwepo Umoje Mziri Mungano Wetu Tutoleeni Masheikh Wewe Nao Hayo Maombi yetu ilitungano Nao
@
@tuterlakapo2016منذ 4 سنوات"Alhamdulil'Lah.. mashaallah hkk ni maneno mazito ya Mh.Dkt. Mwinyi.. Ambayo yana wingi wa busara na mazingatio ndaniyke.. Anaonyesha wazi ya id="hidden4" class="buttons"> kwamba anayo hesiya kubwa ya kutaka umoja na mshikamano wa pmja nakuwa kitukimoja kwa mustqbal nchi na wana nchi kwa ujumla wake, ishallah tumuombe Allah awapenguvu juu yahilo..amin. Lakinipia Mola amzidishie imani na ehsan kuwafikiria Masheikh walioekwa kizuizni..alaw Waachiwe huru tena.. wajekujenga kisiwa upendo na mshikamano.. Allahumawaafiq..amin. Hkk ni maskitiko makubwa na huzni ya wengi kibidam juuyao c jngine ya lolote..ma. shukran" ....وسعت
@
@zakwani885منذ 4 سنواتTumefurahi sote wa nje nawandani ya. nchi M mungu awajalie kila la kher na mafanikio mema na ahadi muitekeleze usitiwe ushawishi na wa baya uwe makini na Allah yuko pamoja na nyie na maelekeo mema ameen
@
@alialibablly7010منذ 4 سنواتNa muujue wapo walio ridhika maridhiano na wengine bado na kuridhika kote na upendo uzidi kiu ya wazanzibar kuona Masheikh wakizanzibar wanarudishwa znz 4
@
@mudy4604منذ 4 سنواتTumuombe mungu atufikishe baada y miak 5 tumjua mnafiq 4
@
@mamunote3507منذ 4 سنواتMabrukeen Wanzanzibar wote Alwah atupe Upendo wa dhati na tushikamane kwa kuendeleza Zanzibar na Tanzania wote kwa Ujumla
@
@z.nalnabhani7194منذ 4 سنواتRais mwinyi ni kiongozi mazuri Allah awasimamie pamoja na maalim seif 10
@
@maryamali1019منذ 3 سنواتAllah awajaalie kila lakheri raisi wetu mpendwa ukiwa sambamba na maalim seif allah awape nguvu za kutekeleza yale muliyo yaahidi kwani ahadi nizenye kuulizwa mbele ya m/mungu .jitahidi sana mh rais
@
@mwambamkombozi4672منذ 4 سنواتTungependa kusikia maneno mazuri kwa ndugu zetu waliopoteza maisha kwa ajili ya uchaguzi (uchafuzi) pamoja na wale ambao wamejeruhiwa.
@alialibablly7010منذ 4 سنواتHalafu tv muache ubaguzi wa vyama km mnataka maendeleo ni kwa vyama vyote si mutangaze matangazo ya dini wakati muna ubaguzi tunawangalia tu ila Mungu anawangalia vizuri hii dunia mapito akhera kuhesabiwa 1
@
@mrjagenmuuz5704منذ 4 سنواتUchaguzı amanı haıkuwepo wa usalama tushukuru Mungu tuu kwamba vurugu lımeısha walıoumızwa wanauguza majeraha yao na walıokufa Allah awarehemu
@
@salimsaid8348منذ 4 سنواتBango la kisonnge bado linaweka chuki kwa wananchi ni bora uliondowe Rais wetu 6
@mariamfaki1166منذ 4 سنواتUtaimaliza misikiti mara hii haisadii uliyoyafanya tutayakuta hapana shaka kwa hilo kwani uchaguzi haukua wa haki usiwadanganye watu mungu anakuona haya ya dunia tutayaacha kazi ipo huko twendako yarab 2
@cadabra7402منذ 4 سنواتMashekhe wetu tunawaombaaaa haraka iwezekanavyo , na kwa waliodhulumiwa sio sisi ambao tunatoa msamaha , ispokuwa ni Allah (s.w), na pamoja na kuwaomba radhi kwa mliowajeruhi na kuwapoteza watu wao.
@
@TeamKRXمنذ 4 سنواتNimeamini ugomvi wa ndugu maisha yote usijaribu kabisaa kuungilia matokeo Yale unapata fedheha mwisho wake utaanguka ISO chini
@
@TeamKRXمنذ 4 سنواتInapendeza lakini mashalah ila inauma viongozi zzzzz wa ccm mbona mushazisahau hivi zikri
@
@rashidkhalfan7556منذ 4 سنواتMnapendaa kuchanganya dini na siasa ss mbona hao masheikh mnaendelea kuwatesa Mungu anawaona nyinyi wacheni unafiki mungu mkubwa sana
@
@axmedcali5097منذ 4 سنواتNa vile ogopeni kwenda kuulizwa kuhusu kuwatia gerezani mashehe 1
@
@kisa6022منذ 4 سنواتVery sad ..uchaguzi umepita kwa salama na amani..mhhhhh 2
@
@mohammedmbarouk5729منذ 4 سنواتHaki haipo nchi hii tangu hapo kaleee tusidanganyike bahnaaa
@
@abdulhamidhaji5056منذ 4 سنواتna mashekhe wetu muwatowe kule waliko, wana familia zao zinahitaji huduma zao
@TeamKRXمنذ 4 سنواتMagu jeshi lako limezaa matunda imebaki kwako
@
@mohammedmbarouk5729منذ 4 سنواتKumbe na ss wazanzibar tuna nchi eeehhh!!!!??mbn haiyonekani kama iko hvyo???
@
@salimseif5491منذ 4 سنواتUchaguzi haukupita kwa salama,mtangazaji usipotoshe,au hukuona wale waliopigwa,kuumizwa,kuuliwa na kutiwa ndani kwa makosa ya kubandikizw
@
@masoudsalim7718منذ 4 سنواتApo mm sjaelewa UCHAGUZI wa .
@omqnoman9915منذ 4 سنواتTunakuomba muwatoe mashehe jamani rais mwinyi na maalim seif mashehe jamni
@
@hafsamansoor3977منذ 4 سنواتMaamuzi yawe yenu wenyewe bila kutokea bara mtakwama. Masheikh wetu vipi
@
@sayidabdillah8505منذ 4 سنواتKiongizi wetu mwinyi tunamuomba mungu akupe nguvu but pia tunamuomba uwatowe nje wale mashekh wetu lakini pia usimamie kuondoshwa kwa kuandikwa maneno id="hidden11" class="buttons"> ya uchochozi pale kisonge na tena saiv yameboreshwa yanandikwa kwa njia ya keletronic sio jambo zuri ....وسعت
@
@abuubakalmtangenange4389منذ 4 سنواتZanzibar ingekua nchi masheikh wetu wa uamsho wasngetolewa Zanzibar na kuletwa Tanganyika hali ya kua Zanzibar nchi mimi mtanganyika ila siungi mkono Zanzibar
@
@hajishaibu8295منذ 4 سنواتNgoja uchaguzi ufike 2025 ndio tutajua
@
@hauranyussuf5277منذ 4 سنواتhapo hamna mashekhe kuna wanafiki tu waisilamu wezunu wapo jala hamna hata mmoja wenu alofungua mdomo kawatetea
@
@hajimakame1062منذ 4 سنواتHaikubaliki dua iyoo mnaimba tu apo mtu akaomba dua hulia nyie mwacheka tu apo wanafiki wakubwa njie odokeni apo na nyimbo yenu iyoo wanafiki wakubwa njiee
@jumakapilima5674منذ 4 سنواتMngefanya hivyo siku zote, mengine yooote yasingetokea,,,,, ,,,, ,siasa sio uadui wala chuki, hayo ndio yanayotakiwa,,,!!!!
@
@mohammedmbarouk5729منذ 4 سنواتKama ni nchi mbn hatuna maamuzi yetu kama nchi??tuna mteule alieteuliwa kule dodoma na watanganyika ???
@
@bableeyzabdalla531منذ 4 سنواتHuyo Hussein mwinyi ni mnafiki kama shein wanalao ndani ya nafsi ccm sio wakweli niwanafiki kwa dua hio sikweli je wale waliowauwa kwa ajili lazima ashinde urais familia zao wamezifidia kama dini inavosema
@
@nassorrashid2857منذ 4 سنواتTunataka masheikh wetu watoke kama kweli unataka amani laa si hivyo hakuna amani. Pia Ccm huwa mnapenda maridhiano mkimaliza uchaguzi lkn tukianza uchaguzi maridhiano mnayaondoa sasa ole wenu.
@
@mohammedlaabry5799منذ 4 سنواتSipendi kusema uchaguzi ulikuwa wa haki na huru ufala mtupu
@
@alijuma1189منذ 4 سنواتMie rais mwinyi simuamini mpaka nione mashekhe zetu wametoka jela
@
@abuubakalmtangenange4389منذ 4 سنواتMikanzu na mikofia mikubwa mikoti mpaka wanahic joto waislam wenzao wapo jela wao hata habari hawana ndio maana nasema Zanzibar sio nchi Wala hussen sio rais ni mkuu wa mkoa
@
@biramsakh9212منذ 4 سنواتHaki iwapi tusubir uchaguzi tu tuje tuone kimbembe. Kuliko majoka wana geuka ccm. Sie letu jicho nakuomba salama 4
@
@aminahhamed747منذ 4 سنواتUnajidanganya uitwae rais mwinyi hapo ulipo km c bunduki na mabomu usingekuwepo hio in dhulma kwa hio jiandae kesho mbele ya hakimu wa mahakimu insha allah 10
@
@BigBoss-jk6fkمنذ 4 سنواتHilo bibi vipi eti uchaguzi ulikua wa amaani na utulivu linasema uwongo kama watu hawajui ukweli.yaani hata halina haya duh domo kama matako 1
@
@ramlamohammed5773منذ 4 سنواتMutaulizwa wale mulowaua na kuwavunja na kuwauliza na kuwadhulumu vichwa vao vinawangoja mbele ya Allah kama wewe umeshasahau yeye ameandika katika kitabu id="hidden18" class="buttons"> na shingo yako kuna cd yakungoja ukafunguliwe uone furahia urais sasa utajuta kesho ....وسعت2
@
@abuubakalmtangenange4389منذ 4 سنواتMwinyi wewe kibaraka wa Tanganyika umechaguliwa dodoma na umechaguliwa na ccm uwezi kufanya lolote uwezi kuwapinga mabwana zako
@
@nawwafomar4518منذ 4 سنواتbila dola na tume uchaguzi ccm haijawahi kushinda na haitashinda kura yeyote milele 2
@
@saeedabunajash6235منذ 4 سنواتWewe Mtangazaji vipi "kumaliza uchaguzi na amani" amani tena!! Ulikuwa hupo masiku ya uchaguzi nini
@
@rashidally1149منذ 4 سنواتIli uoneshe Nia ya moyo mkunjufu ni kukiri yaliotendeka na uombe radhi kwa yaliotendeka 2
@
@ommyd5517منذ 4 سنواتWakisha fanya ufuska wao badae wanajifnya watu wema 3
@
@salimmauly9575منذ 4 سنواتUchaguzi wa Amani huyu Malaya vipi alikuwa mgonjwa wakati wa kipindi cha uchaguzi 1
@
@nawwafomar4518منذ 4 سنواتccm wamedhulumu wameiba kura wamrvunja watu miguu unguja na pemba laana ya mungu iwe juu yao wao na familia zao moto wa jahanamu iwe hukumu yao wote waliopanga kutenda udhalimu huu laanatul llahi
@
@salukanambali7009منذ 4 سنواتMh makamo wa rais umefanya uungwana sasa tunataka wale wafadhiri uliokuwa unasema watakuja kuleta maendeleo znz sasa walete znz ..waambie waje znz 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MANENO MAZITO YA DKT MWINYI MBELE YA MAALIM SEIF:
Wataalah. Kwa Khutba
Nzuri na ya Maana sana
Ya MH. Dr. Rais Hussain
Wa Zanzibar.
Alwah atupe Upendo wa dhati na tushikamane kwa kuendeleza
Zanzibar na Tanzania wote kwa Ujumla
Masheikh wetu vipi
Pia Ccm huwa mnapenda maridhiano mkimaliza uchaguzi lkn tukianza uchaguzi maridhiano mnayaondoa sasa ole wenu.