@lucygeorgina86564 years agoWachawi sio watu wazuri alafu mtu anakuwa mchawi mwisho wa siku hana kitu anakuwa maskini kibanda cha matope mtu anakaa alafu eti mtu anakua mchawi wachawi wote motoni. 20
@
@josephmbunda19294 years agoHahaha....Leo nimekuwa wa kwanza kulike na kucomment acctualy I never do that🤔👏👏 21
@
@Patience.672 years agoAt the name of Jesus every knee shall bow, of those in heaven,of those in earth, and of those under the earth, and every tongue should confess that Jesus is lord for the glory of God the father 🔥 3
@
@cartmation79784 years agoHuyu mzee stori zake zinatisha sana sio za kuangalia usiku 20
@
@esthergasper80864 years agoDavistar jitahidi kusali sana .....sali uwezavyo hawa watu unaoongea nao kila siku ni hatari kwako..muamini Mungu wako unamtangaza shetani bila kujua Davistar...jaribu hata kuhoji walokombolewa ambao wapo tayar mikononi mwa Mungu ...2
@
@abdulhalimhumud19174 years agoDavi Nakukubali sana Juu Ya vipindi vyako kama Ivi endelea kutuletea matukio Ya kidunia kama aya Asante kaka ❤️🇹🇿 2
@
@abdallagakweli63664 years agoWp mzee Domo Denda yy tu ndie utapata burudani ndani ya simulizi zke mtafute tena hakosi story yule mshikaji huoni aliunganisha story kama nne nonstop 16
@hameedmbogo36334 years agoHuyu jamaa wakulisha wachawi nyoka wa kukausha😄😄 3
@
@amosimwangonji10674 years agoAta watano sija cherewa sana mweh mweeeh 3
@
@Hassanmofty4 years agoMzeee nampenda uyu mm jamani khaa mungu amuweke sana anajua kujielezea yani story zake zotee nazipenda 7
@
@mr.jasonfxsignals48734 years agoKama ni part 1 anza nayo kwanza coz kufuatisha ikue rahisi kwa mfano ..... Part 1:Alifunga ....ivo 7
@
@witneyjerry12934 years agoDaviii leta story nyngn hapa kabla haijapoa ,imeishia patamuuu😍 2
@
@deelissa27464 years agoHizi ndio mamb tunataka sio za kina bwana maskio wajua kabs unaongopewa😂(khiiiiii tukamtoa bata moyo) 🤣🤣jmn kijana muongo yule 10
@
@demitrahawkins54574 years agoAti dose zangu😂halafu davistar hio smile dah! 2
@
@abbyadams86914 years agoMajini,waganga na wachawi wote hutumia nguvu za shetani. Isipokua hizi ni jamii mbili zilizotengana ndio maana hupigana mda wote. Wote hawa hatima yao ni Jehanamu. Ni sawa na genge la majambazi lililoasi ndio wachawi. 1
@
@mariamfritsi49434 years agoMimi kinachonishangaza hawa wachawi,juu ya nguvu zao,za kuua na kutesa wenzao, nao pia wanakufa. kwa nini wasijifanyie ili wasife? 2
@
@bettyowiti3974 years agoMungu na majini ni ndugu?! Mbona sielewi..majini ya Mungu.aaah! Dunia hii ..kuishi kwingi kusikikia mengi.. 1
@
@abdulrahmanhassan92544 years agoYote tisa babu yake ndio alikuwa mtemi kinomaa. Pia mwambie afungue istagram ili ajitangaze atengeneze HELA 5
@
@ayshamahariq66654 years agoShkuran braza Davistar wazdi kutuelimisha
@
@butondodavid21054 years agoNakufuatlia sanq pacha japosielewi vzr kiswahili Iam in American kunayule jamaa story series mpe na hii atusimulie
@
@annamadraga23644 years agojaman napendaga sana kusikiliza simulizi za huyu lkn naogopaga hapa nimekaa nje 1
@
@mashaelieazer61204 years agoHao waganga wachawi wote sawa tu kwasababu wanatumia nguvu za Giza, hakuna anaesema anatumia nguvu za yesu kristo. 2
@
@soniyakinywelo86274 years agoDavistar tumepata numbar ya mzee Ila hayupo WhatsApp wengine tupo njee ya Tanzania please mwambie tunahitajisaada wake 2
@
@annajoseph99554 years agoCjaona cha kucomment nasikiliza kwanza then comment mwishon 5
@
@mwalysmodel82324 years agoAmbao hatukuvutiwa na usimuliaj wa domo tujuane....afu kama mwongo vileee 1
@
@joycengunyi33083 years agoHujambo Davista naomba kuwasiliana na huyu mtaalam Ako na whatsup number au messanger Niko Kenya Nairobi
@
@fei36684 years agonapenda hizi story ila davista unataka uende sawa kuongea na msimuliaji yan kama interiew bwana yan unakuta msimuliaji kasema nilifungua mlango na wew unaludia tena ulifungua mlango? unaboa bwana 1
@
@alihijiiddi89774 years agoMIZIKI INAKERA NA KUHARIBU STORI HII HAYAMAMBO SIYAHUZUNI WALA MAMBO YA LOVE MNAKERA NA USHAMBAWENU HUWO TONASIKILIZA MZIKI AU HII HISTORI 😇😇😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😳😳😳😳
@
@middleplatnumz36294 years agoNunua mic nyingine jombaa! Hivyo unaboa
@
@demitrahawkins54574 years agoDavistar what's the meaning of "chimbuko?"
@
@hebronsdaughter16614 years agoMimi ninavyo amini muganga pia mchawi sema yy ndio mkubwa wa wachawi na hicho kipaji cha uganga hakitoki kwa Mungu cz yy anauwezo wa kishetani mie mganga hanioni kwake ng'o namuomba tu aliye niumba
@
@UNO-xt7we4 years agoHii stoli ya ukweli kabisa ata sula yake inaonesha sio kama yule domo hana kitu muongo tu hadi stoli zake za uongo kitaani
@
@geraldmaingi29074 years agoIt's funny huwa wanafanya all this na at the end utaenda hell kuteseka for eternity 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@
@demitrahawkins54574 years agoOfcoz alifanya kitu,alikitengeneza kitumbua kwa kitambaa Cha sanda akalizika
@
@navokisembo4 years agoMhh hakuna mchawi mzuri kwa Mungu hawafiki labda watubu
@
@bernadethafrancis95394 years agoKumbe domo denda wengi wamemstukia km muongo! Nenda kwenye you tube Chanel ya Christina Francis kuangalia wimbo wake mzuri Niko huru .
@
@twaibumikidadi73774 years agopacha wako yu wapi domo denda !!!!!
@
@Rose-pz8es4 years agoWhats the code for calling his number for international call...which country he live? Thanks
@
@aminajuma80984 years agoMmmh I doubt this,I think anatafuta wateja tu but all in all am team Domo💪
مقاطع الفيديو ذات الصلة على ALIFUNGUA MLANGO KWA MATAKO/WALITAKA KUNILA NYAMA/ALINIWEKEA MAFUTA YA MTU ALIEKUFA,NYWELE PART1:
Part 1:Alifunga ....ivo 7
domo denda !!!!!