@alice-sd1svالعام الماضيBe blessed man of God for the preaching of the gospel 1
@
@erastosanga1694قبل 10 أشهرThanks GoD for the priest whose preaches the perfect things to the believers.
@
@user-ft6tx7xn8sقبل 5 أشهرMungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@
@faridahkiwambe8152منذ 3 سنواتI like your preaching mchungaji, keep on serving the leaving God 4
@
@cessdan3595منذ 3 سنواتAv back slided nko na almost mwaka mzima kama ciendi kanisa .mtumishi naungana nawe.nikitazama mahubiri yako uwa najiskia Niko kanisani.mungu akubariki.naungana nawe nikiwa Kenya..barikiwa 4
@zadokinsanzuwera397العام الماضيOoh dear mchungaji ahsante sana kwa mahubili haya nasikiliza kutoka nakivale camp in ugada nimebalikiwa sana Mungu azidi kukurinda
@
@patrickkalahuka6340قبل 11 أشهرUbarikiwe na ulindwe n'a Yesu Christo wanazareth.
@
@deboranungura6260منذ 2 سنواتUbarikiwe sana mtumishi nayaelewa sana mahubili yako
@
@venuncemdenya8599منذ 2 سنواتUpo vizuri sana baba mchungaji mana mafundisho yako nimeyaelewa sana yani nimeelewa sana
@
@pastorchristopher758منذ 2 سنواتHapo mchungaji nimekubar kwa ujumbe was msingi wa kaninisa
@
@rashidifilimoni7061منذ 2 سنواتMzee uko vizuri kama sio gharama kukureta kwetu tungekuomba ujee
@
@johnpaschael7158منذ 3 سنواتMungu akuzidishie hekima na busara. Uendelee kuihubiri injiri ya Bwana.
@steventemba2353منذ 2 سنواتKaka mahubiri yako sawa kabisa ubarikiwe
@
@daudisakala8649منذ 3 سنواتDaah yaani me nikiskiliza maubiri yako huwa nabarikiwa saaana
@
@christianjean2752منذ 2 سنواتTunakufuata kwa makini kutoka bukavu/congo
@
@jerushagitau2391منذ 2 سنواتAmeeeeeen saaaana,mutuwekeage part 2 pliz.
@
@doreensamwely8740منذ 2 سنوات mgogo we ,ety mchunga kondoo abebi mimba ya kondooo
@
@charlesmacharia7027منذ 3 سنواتUbarikiwe sana Rev.Daniel napeda mahubiri yako ya kweli kabisa
@
@vumiliaamosi2342منذ 3 سنواتUbarikiwe mtumishi,,, nabarikiwa sana kwa neno lako
@
@williammanyanda3629منذ 3 سنواتUbarikiwe sana much Daniel nabarikiwa na mahubiriko kabisa 15
@
@kuziririzaisabatosiitegeko7088منذ 2 سنواتWanafunzi wa siri Yesu hawaciya kanisa,Wasiri hawajukani na sisi anaye wajuwa ni Mungu hawo hatuwezi kuwazungumuza kwani ya sirini siyetu
@emmanuelmbelenzi3077منذ 2 سنواتKanisa lake linaitwaje & lipo wp??
@
@jailiningonyani5729منذ 3 سنواتda mi nimwisilam lakini haya maneno yamenifundisha kitu
@
@godfreymbuya2659منذ 3 سنواتHakuacha kanisa aliacha karama na vipawa.Hivyo vipawa na hizo karama ndio vilizaa kanisa.Bila vipawa na karama hakuna kanisa,kuna wapagani wastarabu 2
Hahahahahahaha. 1