المدة الزمنية 2:48

Polepole: Mwendo ni uleule mapambano ya Corona | | wote waliotumia mbinu za Magharibi waliaribikiwa'

بواسطة Mwananchi Digital
7 313 مشاهدة
0
50
تم نشره في 2021/06/16

Mbunge wa Kuteuliwa, Humphrey Polepole akizungumza alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022, jijini Dodoma leo. Wabunge wanachangia mjadala huo kwa siku saba ambapo wanatarajiwa kuipigia kura ya kuipitisha Jumanne, Juni 22.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 31