Viongozi wametakiwa kuwashirikisha watu wenye ulemavu katika shughuli za maendeleo kwani nao wanao uwezo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa wakati alipokuwa mgeni rasmi katika siku ya Watu wenye ulemavu ambapo kwa jiji la Tanga yamefanyika katika kituo cha YDCP.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على “WALEMAVU WANAHAKI SAWA KAMA WATU WENGINE”DC MWILAPWA: