المدة الزمنية 5:39

CORONA HAIJATUFIKISHA HATUA KUFUNGIA WATU NDANI, TULINDE AJIRA KWA NGUVU - MKURUGENZI ATE

بواسطة MICHUZI TV
380 مشاهدة
0
5
تم نشره في 2020/03/24

Chama cha Waajiri nchini (ATE) kimeeleza kuwa hakuna haja yakufungia Wafanyakazi ndani kutokana na janga la Corona badala yake Wafanyakazi hao wanapaswa kufanya kazi kwa nguvu. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama hicho, Dkt. Aggrey Mlimuka jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na Waandishi wa Habari katika Mkutano maalum uliondaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) wenye lengo lakuutangazia Umma tahadhari ya janga la Corona.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1