video hii inaonesha jinshi gani ya kukata solo ya kutoboa
tafadhari kama hujasubscribe subscribe ili kila napoweka video mpya uweze kuitazama.
pia kwa wale ambao ndo mnaanza kujifunza ushonaji bado hujajua vizuri kukata karibu wasap kwa mamba
0745170089 nitakufundisha mpaka utajua vizuri KARIBU SANA.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 24
@
@BertilaMagwina6 hours agoNimekuelewa Ila hujatuonesha Cha juu nataman kujua Cha kukata Cha juu
@user-gu6tw1yg2s5 months agoNimependa kaz yako dada ila unatumia kitambaa kikubwa je brauz unashona kitambaa gani hapo asa
@
@rehemamood50043 years agoNice... laki video haionyeshi vitendo unaonekana wewee tuu
@
@user-cr8hd2ow5v7 months agoNimekuerew lakin sijakuerew Jin's ya kuunganish berit ya kiunon urivy kata nimekuerewa
@
@charitydicksoni66493 years agoDad naomba nisaidie jinsi ya kukata shati LA soro
@
@julianayessaya10412 years agoMbona wote mnatuonyesha za watoto,,wateja wengi ni watu wazima
@
@shadrackkihombo6052 years agoMbona hyo namba haiko watsap my dia Ninashida ya kujua kitu kupitia watsap
@
@tumainimwaigomole73384 years agoKama unataka iwe ndefu inakuweje hapo ikiwa urefu 46 inakuweje hapo
@
@user-mp8ox7ij1k11 months agoUko wapi dad maan unafundisha kwa umakini kama uko mwanza natak Nije unifunze
@
@daudsamwel64964 years agoUmeonyesha vizur nmekuelewa sema tu kichwa cha habar umesema gaun la soro ya kutoboa Ila umeonyesha sket kwa gauni inkuwaje kukata vpimo vya juu? 2
@
@mushihasani84354 years agoUnaptkn wap natmn uje unifundishe nyumbn me ni Mrs mushy ucshangae jina hapo lmetok mushy hassan ni mume wang huyo 2
@
@charlotteuwase55064 years agoVideo yako haionekani vizuli, rabdha ni tatizo la camera ya simu tu Hii kazi ya kufundisha kukata na kushona MILCASTYLISH NDO ANEONGOZA KWA KWELI APA YOU TUBE CHANNEL PAMOJA NA EMGO TAILORING VIDEO ZAO ZINAONEKANA VIZULI MUNGU AWABALIKI NYIE WOTE MUNAETUSAIDIA KUJIFUNZA ENDELEA NA WEWE UKIWEKA VIDEO NZULI TUTAKUA TUNAKUFUATIRIA KAMA TURIVYOMUFUATIRIA MILCASTYLISH DADA MDOGO MWENYE ROHO YA URUM 😘😘😘 ...
مقاطع الفيديو ذات الصلة على JINSI YA KUKATA SOLO YA KUTOBOA KIURAHIS ZAIDI:
Ninashida ya kujua kitu kupitia watsap