المدة الزمنية 53:22

RAIS MAGUFULI AKIMUAPISHA JAJI ZEPHARINE NYALUGENDA GALEBA KUWA JAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI

بواسطة Ikulu Tanzania
9 387 مشاهدة
0
106
تم نشره في 2021/02/02

Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji mteule Zepharine Nyalugenda Galeba kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania , Jaji Galeba aliteuliwa kushika nyadhifa hiyo baada ya kuonyesha uzalendo kwa kuweza kutoa hukumu kwa lugha ya kiswahili katika kesi ya Mgodi wa North Mara dhidi ya Gerladi Nzumbi.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0