المدة الزمنية 9:49

Bobi Wine ( Robert Kyagulanyi) Adai kuwa Uchaguzi Mkuu Uligubikwa Na Udanganyifu Mkubwa

بواسطة DIRA Tz
86 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/01/17

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anaongoza katika matokeo ya awali yaliyotolewa hii leo na tume ya uchaguzi katika kinyang'anyiro cha urais kilichofanyika jana huku mpinzani wake wa karibu Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine akidai kuwa uchaguzi huo uligubikwa na udanganyifu mkubwa. ☑Waasi kundi la ADF linaloendesha harakati zake mashariki mwa Congo, jana wameshambulia kijiji cha Masini katika wilaya ya Irumu,kasenyi mkoa wa Ituri Kaskazini mashariki ya Congo, na kuwauwa Mbilikimo 46.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0