🔴#LIVE: MAZISHI YA WATU 5 WA FAMILIA MOJA, WANAODAIWA KUFIA UWANJANI WAKIMUAGA JPM..
SIMANZI, huzuni na majonzi vimetawala nyumbani kwa familia ya Daudi Mtuwa, iliyopoteza watu watano wanaodaiwa kufikwa na umauti katika shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli jana Jumapili Machi 21, 2021 katika Uwanja wa Uhuru.
Miili ya watu hao inazikwa leo Machi 25, katika makaburi yaliyopo Kimara jijini Dar.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@janefrolakalinga5664منذ 3 سنواتPolen sn wapendwa ndug jamaa na rafiki wa inauma sn jaman du, M/Mungu awape nguv katika kipind hiki kigum mlichonacho, tuwaombee ndug zetu wapumzike salama.AMINA 3
@
@elianamariasantos9665منذ 3 سنواتQue linda estás crianças todas arrumadinha que chic!!!Todos quietinhos que disciplina!!PARABÉNS!!! 1
@
@seemaa130منذ 3 سنواتDeepest condolence Inna Lila waina Alaihum Rajeun we belong to God and will return back to him everyone will be tasted 3
@
@nelsonmariki1981منذ 3 سنواتPoleni sana wapendwa wetu Mungu awatie nguvu 4
@
@aminamussa5122منذ 3 سنوات may them all and our president rest in heaven. 1
@
@signaturewerber9399منذ 3 سنواتPoleni sana wapedwa, kweli inauma sana.Tuko pamoja katika kusali na kuomba. Mwenyezi Mungu awafariji na kuwapa nguvu Ktk kipindi hiki kigumu. Bwana Alitoa na tena ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe 1
@
@esthergerald6790منذ 3 سنواتPole wafiwa wote,Mungu amtie nguvu na uvumilivu mgane na mtoto wake aliyebaki. 1
@
@t4083منذ 3 سنواتRaha ya Milele uwape ehh bwana mwenyesi Mungu awasamehe makosa yenu na awatie nguvu familia yenu. 1
@
@lydiachembe9376منذ 3 سنواتPolen sn mungu awazidishie uvumilivu,aman,na upendo 1
@
@gloriamasaka7635منذ 3 سنواتpoleni sana wapendwa huzuni kubwa sana MUNGU awafariji na huzuni ziweze kukunjuka MUNGU help tujali wanyonge na wenye mahitaji yatima wajane na wageni. id="hidden3" class="buttons"> Mathayo 25 na ISaya 58 inatufundisha kujitayarisha kwa hukumu tusilimbikize vitu tuwe wakarimu sana ....وسعت
@
@consolatamedard6593منذ 3 سنواتJaman mbona inaumiza Sana ii Mungu awatie nguvu wafiwa wote 3
@
@zainabomar9139منذ 3 سنواتPolen sana kwamsiba uliowafika mwenyezi mungu awape subrah
@
@nancyonduru3771منذ 3 سنواتPolenj sana kwa kupoteza wapendwa mungu awalaze roho zao mali pema peponi 1
@
@xkingx8041منذ 3 سنواتPoleni saaana kabisa wapendwa!! Mungu awatie nguvu 1
@
@aloycemasele7236منذ 3 سنواتPoleni Allan&Lily, Mbasa na Denic na familia kwa ujumla
@
@theodoryfelix8582منذ 3 سنواتHakika nimajonzi na huzuni mungu utupe amani na faraja yako
@
@shanifesto9037منذ 3 سنواتPoleni sana jamani,,dahh so sad kwa kweli 2
@
@emanuelmichael9784منذ 3 سنواتPoleni sana wapendwa Mungu awatie NGUVU jamani 1
@
@godiusmushi1075منذ 3 سنواتAkuna mwanadamu anaweza kuwafariji namwomba mungu awafaiji kwa njia ya kipekee kwa roho mtakatifu awavushe kwa njia yeke mwenyewe ninawapa pole mno yesu pekee
@
@Sppah697منذ 3 سنواتMnakufa kwaa jili ya nini? Kufa kwa ajili ya Mungu na siyo binadamu!
@
@victorialucas4476منذ 3 سنواتPumzikeni kwa amani wapendwa, poleni familia 4
@
@pendokazi8540منذ 3 سنواتNgumu kumeza, MUNGU wape wepesi wafiwa 2
@
@t4083منذ 3 سنواتWatanzania kwakweli tuko ktk wakati mgumu 1
@
@siporajemes773منذ 3 سنواتMmmh! Mama maic imekuvurunga kwl,!! kila mwanamke aliezaliwa na mwanadamu ck zake zakuishi sinyingi,da! Maic sio muchezo,wapeni bg,up wachungaji
@
@sudaiskhan5232منذ 3 سنواتThe polite shingle nomenclaturally telephone because thought significantly drown to a organic argentina. curious, dear emery
@
@gloriamasaka7635منذ 3 سنواتpoleni sana wapendwa huzuni kubwa sana MUNGU awafariji na huzuni ziweze kukunjuka MUNGU help tujali wanyonge na wenye mahitaji yatima wajane na wageni. id="hidden7" class="buttons"> Mathayo 25 na ISaya 58 inatufundisha kujitayarisha kwa hukumu tusilimbikize vitu tuwe wakarimu sana ....وسعت
مقاطع الفيديو ذات الصلة على LIVE: MAZISHI YA WATU 5 WA FAMILIA MOJA, WANAODAIWA KUFIA UWANJANI WAKIMUAGA JPM..:
Mungu awatie nguvu 4
Bwana Alitoa na tena ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe 1