المدة الزمنية 7:8

Gari inakaa chini ya mti mpaka linaota kutu.Majaliwa.

بواسطة ITV Tanzania
6 982 مشاهدة
0
26
تم نشره في 2021/05/21

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekabidhi jumla ya magari 184 kwa maafisa elimu wa Halmashauri ikiwa ni mkakati wa Serikali ya awamu ya sita ya kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini. Hafla hiyo imefanyika leo (Mei 21, 2021) katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibasila, Jijini Dar es Salaam.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 9