Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo Youtube - https://bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - https://rb.gy/e154d1
Facebook - https://rb.gy/09d1b9
Twitter - https://rb.gy/e23220
@miumanchannel197منذ 3 سنواتHuyo jamaa dryspell iko juu sana na anatafta maid sio bb ati hapa kazi anafaa akue na bb 11
@
@annmwariri8119منذ 3 سنواتAnd that's why am proudly kikuyu now what's this surely??? 25
@
@kennedykipronoh2942منذ 3 سنواتBwana Kenneth ako na pressure ya kuoa sana..lazima umri wake umesonga na amekaziwa kuoa 14
@
@jackmuendo2157منذ 3 سنواتBoy Child apewe aki yake,, gonga like tukisonga 8
@
@Abel_Onyanchaمنذ 3 سنواتHuyu jamaa ni kubafu.1k tu unaangaisha hapa msichana wa wenyewe ka gari ya miraa!na ungekuwa umetoa airfare kungekuwa aje?????desperation and utotology combined. 21
@
@salomeonywoki2628منذ 3 سنواتnamba 4 since patanisho leo ndio nimeview mapema likes zikam,, Kennedy ajielewi kabisa 4
@
@EDDY5918منذ 3 سنواتPatanisho kabla ya kupatana. Hii kali Mwenye pupa haadiriki kula mbivu
@
@salomeomashibo1971منذ 3 سنواتMzee mwenyewe Ako na kihere here kama mukataji wa nyama duu hatari kwa usalama. Amelemewa na nyege. ww lidia ambia yy akuje home kwanza ndio uwende kwake wacha kubebwa kama kunia ya maka gidi hoyeeee 5
@
@annemarcyannemarcy1574منذ 3 سنواتLydia usiende wacha akunje kwenu kwanza huyu anataka uende akule mali thao yake isipotelee hehee 5
@
@kanakekareko7725منذ 3 سنواتLydia enda ubomorewe jamaa anakuhitaji mum 8
@
@media1international279منذ 3 سنواتHii ndoa itakuwa ya machozi! Dalili ya mvua ni mawingu. 8
@
@theresiakawinzi739منذ 3 سنواتWote wako na ushezi.mbona mdemu akusema fare haitoshi? 3
@
@essiewajojis7918منذ 3 سنواتWat huyu jamaa ako na utoto sana how comes unaita mtu bibi yako na humjui hehehehe 6
@
@beryl804العام الماضيKwanza, he said " huyu mtu akuje". Pressure awache
@
@graciendungu3073منذ 3 سنواتWah hii ni tricky Sana, huyu mtu ni mkora aki 6
@
@lastbornnyashمنذ 3 سنواتHii ya Leo nayo sioni, yaani watu hawajuani alfu washaanza patanisho.. Je wakioana kutakua vipi jamani 10
@
@liliankemunto3124منذ 3 سنواتHyu mtu n mzee sana, kuna mtu anampressure aoe 2
@
@mboneclaire8796منذ 3 سنواتfare ilikulwa akapiga radio jambo haha 1
@
@nellymberia3517منذ 3 سنواتMimi naeza ogopa kujikuta kiruguya morgue,alafu jamaa akona kiherehere kama wale con wa safari com 1
@
@herinahellen9862منذ 2 سنواتWhen someone who lies in the first instance that's a Red Flag!!!
@
@annaheggidy7858منذ 3 سنواتGost where are you my friend hii patanisho ingefaa Sana na Ile cheko yako 1
@
@bettiejoy-mtotowamamaالعام الماضيHizo pesa alituma zinamuuma sana, huyo kuishi nae shinda tupu
@
@anastaciamalachi7552منذ 3 سنواتTuma 5000 Sahii akuje kesho nikutumie number 3
@
@fayetteville6310منذ 3 سنواتGidi anaonaga mambo mengi hapa patanishoEti mum! Wueeeh mnitumie iyo izo elfu mbili nikule pia! 1
@
@marymarrin6877منذ 3 سنواتsasa hawa wameaza kujibishana sai na hawajamet 3
@
@linetnekesa8019منذ 3 سنواتHyo n walikula pesa tuma tena akule navile life n hard nlini wanaume mtaerevuka
@
@annaauyo1958منذ 3 سنواتOoh my! Ooh my!. Kenneth.aki he's desperate wooi .Lidya hiyo fare fungulia business mum.nimeskia ukiitwa mum 5
@
@Ema3229منذ 3 سنواتLydia be careful huyu jamaa hapana ni gutee 1
@
@catherineaseka7781منذ 3 سنواتningekua mm singeolewa na huyu jamaa cox hata kuelewa kwake ni vigumu sana. sasa kwa ndoa ndo ataelewa . 2
@
@esthermugure5676منذ 3 سنواتAaaii mbona yy asiende kwanza aone dem kwenye ako 1
@teedullah5708منذ 3 سنواتGidy usikubali huyo msichana aende kwa huyo mtu
@
@chichimwariwawanyoike4872منذ 3 سنواتHuyo jamaa ni shida tupu dem akue makini sana mm siwezi kuchukuliwa ivo kaa mayai moto never
@
@essiewajojis7918منذ 3 سنواتMila na desturi ifutwe unachukuwa aje mtoto wa watu kama hana kwao alaaaa enda kwa wazazi wao na uitishwe dowary huyu sio wa loan kwenda 8
@reecemwongeli2698منذ 3 سنواتMbona huyu mtu ni ngumu kuenda huko kwa kina msichanaatume fare ikulwe tena 1
@
@kefamakori6745منذ 3 سنواتUuuuuiiiiii hii ni gani Gidi toka hapo
@
@fathiyafaki9072منذ 3 سنواتHuu ni msiba hakuna muoaji hapo Lydia kanyaga kubwa ukienda, pesa yenyewe ni 1k 4
@
@miumanchannel197منذ 3 سنواتGidi huyo jamaa ako na moto sana na iyo si sign poa ye hata si love ako nayo ni nyege na ameona ashapata mtu wakutoa kutu kwake so huyo mdem pia akue wise id="hidden4" class="buttons"> ikiweza arudishe doo ya huyo jamaa ju hapo hakuna ndoa.jamaa mwenyewe ana sound chizi freshy ....وسعت
@
@jojojoy1447منذ 3 سنواتHii NgO'mbe ya mwanaume ya wapinataka bb
Mwenye pupa haadiriki kula mbivu