KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 22/ 12 / 2021
UJUMBE WEA LEO: TUTAVUKA SALAMA
MAMBO YA KUSHUGHULIKIA ILI TUVUKE SALAMA
"GILBOA - MAUTI YA KIFAMILIA
1 Samweli 31 : 1 - 6
Zaburi 18 : 4 - 6
1 Samweli 31 : 1 - 6
1 Basi Wafilisti wakapigana na Israeli; nao watu wa Israeli wakakimbia mbele ya Wafilisti, wakaanguka wameuawa katika mlima wa Gilboa.
2 Wafilisti wakamfuatia sana Sauli na wanawe, Wafilisti wakawaua Yonathani, na Abinadabu, na Malkishua, wana wa Sauli.
3 Tena vita vilikuwa vikali sana juu ya Sauli, na wapiga upinde wakampata; hata akafadhaika sana kwa sababu ya wapiga upinde.
4 Ndipo Sauli akamwambia yule mchukua silaha zake, Futa upanga wako, unichome nao; wasije watu hawa wasiotahiriwa wakanichoma, na kunisimanga. Lakini huyo mchukua silaha zake akakataa; kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akautwaa upanga wake, akauangukia.
5 Na mchukua silaha zake alipoona ya kuwa Sauli amekufa, yeye naye akauangukia upanga wake, akafa pamoja naye.
6 Hivyo Sauli akafa, na wanawe watatu, na mchukua silaha zake, na watu wake wote pamoja siku iyo hiyo.
Zaburi 18 : 4 - 6
4 Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.
5 Kamba za kuzimu zilinizunguka, Mitego ya mauti ikanikabili.
6 Katika shida yangu nalimwita Bwana, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.
Mhubiri : Gadeilson Mfinanga
Kwa maombi na ushauri:
Mch. Dkt. Eliona Kimaro.
Simu :+255655516053, +255754516053
YouTube : Rev. Dr. Eliona Kimaro TV
Barua Pepe: elionakimaro555@gmail.com
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 36
مقاطع الفيديو ذات الصلة على KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA : IBADA YA MORNNING - GLORY THE SCHOOL OF HEALING 22/ 12 / 2021: