المدة الزمنية 3:19

Kundi la wazee wa jamii ya wakikuyu Murang'a wafanya maombi

بواسطة Citizen TV Kenya
2 750 مشاهدة
0
7
تم نشره في 2020/04/30

Kundi la wazee wa jamii ya wakikuyu kutoka kaunti ya Murang’a wanakutana katika eneo la Mukurwe wa Nyagathanga ambapo ni eneo linalokisiwa kuwa takatifu na jamii ya wakikuyu. Wazee hao wanafanya matambiko kama njia ya kumuomba Mungu kuliondoa janga la Corona nchini.

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 5