المدة الزمنية 19:12

Maalim Seif aibua mapya mkataba wa mafuta Zanzibar, atoa tamko

بواسطة HABARIMPYA TV
17 651 مشاهدة
0
67
تم نشره في 2018/11/11

Leo Novemba 11 Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu utiaji wa saini wa mkataba wa ugawaji faida (PSA) baina ya Zanzibar na Kampuni ya RAK GAS ya RAS ALKHAIMAN na kutoa tamko kuhusiana na sakata hilo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 36