KORONA BADO HATARI NCHINI
Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amebainisha kwamba taifa linapitia awamu ya pili ya mchamko wa virusi vya Korona. Waziri Kagwe anasema kuwa idadi ya maambukizi imeendelea kuongezeka haswa baada ya masharti kulegezwa. #TV47News
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Awamu ya pili ya mchamko wa virusi vya korona: