المدة الزمنية 4:39

Awamu ya pili ya mchamko wa virusi vya korona

بواسطة TV47 Kenya
119 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2020/10/18

KORONA BADO HATARI NCHINI Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amebainisha kwamba taifa linapitia awamu ya pili ya mchamko wa virusi vya Korona. Waziri Kagwe anasema kuwa idadi ya maambukizi imeendelea kuongezeka haswa baada ya masharti kulegezwa. #TV47News

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0