Msumari Wa Moto umetukutanisha na #ZainabKatimba mmoja kati ya wabunge waliongia Bungeni wakiwa wadogo sana kiumri, ambapo yeye akiwa na umri wa miaka 25 tu aliaminiwa kuwa sehemu ya chombo cha uwakilishi cha nchi.
Amepata uzoefu gani kiuongozi? Anazatazamaje changamoto za vijana na wanawake na anasemaje kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi mwaka huu ?
Cc. @charles_william2 @rwenyagira #MsumariWaMoto