المدة الزمنية 3:44

Majirani wasema Lawrence Warunge alikuwa kijana mpweke

بواسطة Citizen TV Kenya
146 682 مشاهدة
0
719
تم نشره في 2021/01/12

Mauaji ya jamaa wa familia moja katika eneo la Karura kaunti ya Kiambu bado ni kitendawili huku maswali mengi yakisalia kuhusiana na taarifa ya mshukiwa mkuu Lawrence Warunge. Majirani na hata waliofahamu familia hii wakizungumzia walivyomfahamu Lawrence, kijana wa miaka 22 aliyekiri kuwaua wazazi wake na nduguze wawili.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 278