VITUKO Vya RC MAKONGORO, AWAPA TUMBO JOTO Ma - DC, DAS - "UTEUZI wa RAIS SAMIA Unaendelea"
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere, amefanya kikao na wakuu wa wilaya ambapo amewaeleza kuwa wwe tayari kwani uteuzi wa Rais Samia unaendelea na wanaweza kujikuta wamebadilishiwa kituo cha kazi...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@kloppsaturn6891منذ 3 سنواتHe is strictly and firm but easy to get along with 2
@
@nixonluseno8422منذ 3 سنواتI am happy to see the former first family playing a role in the adminstration of tanzania 1
@
@bobjulieoneheartbandمنذ 3 سنواتMungu Halali, Asante Mh. Kumteua Mkuu huyu wa Mkoa na kuturudishia Tabasamu na vichekesho vya Baba Wa Taifa vikiambatana na Uchapakazi. 5
@
@auntdorah9141منذ 3 سنواتNakukubaligi sana Mheshimiwa.. Asante mama Samia kwa hii zawadi. 7
@
@samwelsengati1369منذ 3 سنواتRaha sana unakuwa na boss ambae muda wote mnacheka tu. But ukileta mzaha kwenye kazi utajuta. 6
@
@peterkichochi7510منذ 3 سنواتHuyu baba mdogo wataifa very charming. This is a great men. 9
@
@francojohn8488منذ 3 سنواتThe Great Mwl Julius K Nyerere forever we love u! 18
@
@deusdebitkowa9657منذ 3 سنواتKucheka raha,kiukweli tunahitaji sana ucheshi wa aina hii ktk zama hizi. 12
@
@rmaryp6269منذ 3 سنواتAnacheka kama alivyokua akicheka baba yake, na ni mchekeshaji sana 23
@
@stevensteve7519منذ 3 سنواتDu mheshimiwa Makongoro unaporojesha hatari. Kazi njema mkuu 5
@
@rahmahersi2116منذ 3 سنواتHongera ..na pole sana. Ndugu yangu.
@
@princeerick372منذ 3 سنواتWhat goes around, Comes around!!!! I see The Great Nyerere on you, Mungu akusaidie ukatumike vyema
@
@pascalmsechu6874منذ 3 سنواتSaw sawa Makongoro.unafaaa Sana man..ila zile tabia za Arusha uko hapana 1
@
@Nyanda506منذ 3 سنواتSio lazima kiongozi kila mara uwe serious tu lazima utengeneze team work nzuri yenye kujiamini na si uoga 7
@
@emanuelnyab9872منذ 3 سنواتDaa kizazi cha Nyerere hicho wanafanana mambo fulani hivi 3
@
@reubenimalando8792منذ 3 سنواتHuyu mh kama nyerere tu story za kuchekesha kwa wingi 10
@
@valenakomba4453منذ 3 سنواتNa siyo wewe tu, bali kila Mkuu Wa Mkoa katika nchi hii, yeye ni Rais Wa Mkoa. 8
@
@diamondgeyser7987منذ 3 سنواتMkoa wa manyara utaongoza kwa watu wenye furaha Tanzania 16
@
@geofleylunyelele8024منذ 3 سنواتAnachangamsha Sana yaniii uchangamfu kama Baba wa taifa inapendeza Sana mama umetuludishia mzee 17
@
@abdallahlugendo3221منذ 3 سنواتMkuuu wetu ametuwacha vinywa wazi kwa furaha na vicheko kubwa ni kufanya kazi kwa umakini na uadilifu asante mkuu wa mkowa mhe makongoro nyerere 11
@
@emmanuelbonifas3517منذ 3 سنواتMungu akujalie kufa umezaa watoto wenye hekima na busara ni raha sana sasa hv mwl anafurah tu huko kila la heri makongoro iwakilishe mara 1
@
@charlesaketch3264منذ 3 سنواتChapa kazi mkuu mungu akujalie kazi iendelee manyara oyee 2
@happydionice355منذ 3 سنواتHuwa nacheka Sana kila nikikusikiliza mh makongoro 9
@
@rahmahersi2116منذ 3 سنواتMtoto wa mwalimu Una vitukoooo. Hujawahi kuwa makuu Wa mkoa..mbeleni. 1
@
@rahmahersi2116منذ 3 سنواتYou are fit to be comedy. Mtoto wa mwalimu. I enjoyed your hotuba.
@
@gabrielaniseti1537منذ 3 سنواتAnother Nyerere The UNIVERSITY OF POLITICA 2
@
@laghtnesphilipo489منذ 3 سنواتAsante mama Samia kutuletea mkuu wa mkoa mwenyetabasamu watu wake mithili ya baba yake,
@
@gibsonjosephat6352منذ 3 سنواتHongera sana Mama yetu Rais Samia Suluhu kwa kutuletea mzee huyu kwenye uongozi. Hata kama mimi niko Kigoma nitakuwa namfuatilia kwenye mtandao ya kijamii ili nifuahi sana.
@
@zaidihussein4311منذ 3 سنواتMakongoro hoyee mungu akusaidie ktk uwongozi wako 1
@
@benedictmrisho5947منذ 2 سنواتKweli Mama kakujengea historia. U mcheshi lakini ndani ya ucheshi Kuna shukrani na unyenyekevu kwa wananchi. Unawatia moyo wananchi wa mkoa Wako.
@
@abasisapi5474منذ 3 سنواتHongera Makongoro, kumbe unajua kuongea namna hii?
@
@binurusm8886منذ 3 سنواتMh Rais wetu, Mama Samia Suluhu Hassan, Mwenyezi akulinde, Kumteua Makongoro nyerere, Kumteua mtoto Edward Sokoine, Hakika Sina cha kukupa zaidi Kukuombea id="hidden2" class="buttons"> Dua na Maombi kwa wingi, Na InshaAllah Mwenyezi Mungu atapokea Dua na Maombi yangu kwako, ikiwa ni Pamoja na Viongozi wote, Kusema Kweli Umetukumbusha mbali sana Watanzania, Mungu Ibariki Tanzania yetu, Aamina. ....وسعت
@
@davidmihayo4436منذ 3 سنواتYou're as charming as mwl Nyerere was but work hard 1
@
@immahkobeh7620منذ 3 سنواتHongera SANA mh makongoro jmn mwenye namba za mh makongoro nyerere nakuomba plz nko Siriaz 1
@
@abuyunusmohamed6961منذ 3 سنواتMheshimiwa makongoro ni mchangamfu sana 12
@
@briansancedo9336منذ 3 سنواتHahahaha Ucheshi wake unafanana na mwalimu nyerere
@
@arbaab9337منذ 3 سنواتKWELI DAMU HAIPOTEI LIKE FATHER LIKE SON.✍ 4
@
@archnidquasar7314منذ 3 سنواتHuyu bwana mkubwa alikua kwenye kamati ya maadili ya Ccm kipi kimetokea mpaka ashushwe kiasi hiki dah 1
@
@kloppsaturn6891منذ 3 سنواتSijui kwanini but mimi nahisi kama Charles Makongoro Nyerere anafaa kugombea Urais 2025 2
@
@gasirigwaaloyce8739منذ 3 سنواتKazi ndo itatuaminisha zaid japo ni mcheshi 1
@
@jacksonoswago6160منذ 3 سنواتWakiwa serious mnaanza kusema hawana social exposure, wakinuna wananyanyasa wananchi, Makongoro huyu sio wa kufundishwa kazi ya ukuu wa Mkoa , Mama Kamteua id="hidden3" class="buttons"> anamjua sana, kwa ufupi kama humjui Makaongoro anakuwajibisha huku anaendelea kucheka , kucheka kwake ni kama kipaji na upendo aliopewa na /Mwenyezi Mungu akiwa na public, tumwache anayo team kubwa ya watenda kazi. ....وسعت4
@
@khdigahk4246منذ 3 سنواتHahaha yani uyu daah mama mtaalishaji WA kipindi 2
@
@nusrathussein521منذ 3 سنواتYuko sawa na baba yake nyerere kicheko tu 5
@
@mzeeally2474منذ 3 سنواتTATIZO HUYU MZEE HAJUAGI KUNUNA, AKINUNA AN ACT UKWELI NI KWAMBA HAJUAGI KUNUNA MZEE YULE.M 2
@
@edgarjoseph5573منذ 3 سنواتMbona haichekeshi sasa hawa wanacheka nini
@
@AliMohamed-wp1opمنذ 3 سنواتMAKONGORO NI MCHEKESHAJI NA SIO MWANASIASA 10
@
@phoebemmanga6047منذ 3 سنواتHakuna kama mama jamani. Nimefurahishwa na kitendo cha kumuenzi Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kumteua mtoto wake Makongoro Nyerere kuwa Mkuu id="hidden4" class="buttons"> wa Mkoa Manyara naona kama baba anaishi. Mungu amsaidie ktk kuongoza Wananchi. ....وسعت1
@
@christinawallasch5228منذ 3 سنواتAnatengeza good mood ya kazi, watu wafanye kazi kwa confidence na bila uwoga wa kazi tunategemea kazi nzuri kwako na watendaji wako congratulations Mak.
@
@barakashadrack7695منذ 3 سنواتHuu mkoa baada ya mwaka 1 kutakuwa na comedy nzr 3
@
@ramadhanmwandambotuntufye5972منذ 3 سنواتMakongoro nyerere nakupendaga sana, kwa jinsi ulivyo unapendeza sana ukiwa ni muislam, una hekima, subira na utu, unapenda haki, unachokikosa ni uislam id="hidden6" class="buttons"> tu ili Allah akuridhie na aje akupe maisha ya kudumu huko mbele za haki. ....وسعت1
@
@MohdAli-cx7bcمنذ 3 سنواتApa unaona utafauti Kati ya viongozi na wababe uyuu mzee anabusara na hekima mtizame sebaya ubabe tu kwa watu wake hajajua kama uongozi ni mapito 2
@
@yohanaikaya6218منذ 3 سنواتTufanyieni mpango wa kupata Rais kutokea ukoo wenu maana naona ni watu wenye akili nyingi kiuongozi.
@wizanakitvonline6190منذ 3 سنواتNaomba kujua , kabla mama hajamteua kuwa RC , alikuwa nani huyu nyerere
@
@alluminiumexperttz.12mview13منذ 3 سنواتShida ya bongo ukionyesha meno tu umekwisha. Ukweli ni kwamba hapa bongo ukitaka kuwa kiongozi mwenye mafanikio lazma ufanye maamuzi magumu na njia pekee ni kuhakikisha huonyeshi meno kizembe 2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على VITUKO Vya RC MAKONGORO, AWAPA TUMBO JOTO Ma - DC, DAS - UTEUZI wa RAIS SAMIA Unaendelea:
Asante mama Samia kwa hii zawadi. 7
Ndugu yangu.
Hotuba yako.
Una vitukoooo.
Hujawahi kuwa makuu
Wa mkoa..mbeleni. 1
Mtoto wa mwalimu.
I enjoyed your hotuba.
The UNIVERSITY OF POLITICA 2