المدة الزمنية 9:7

| KILIO CHA MAMA | Mama alalamikia utepetevu wa madaktari baada ya mwanawe kufariki

بواسطة Citizen TV Kenya
41 836 مشاهدة
0
179
تم نشره في 2020/05/24

Mama mmoja amesalia na majonzi baada ya kifungua mimba wake kufariki baada ya kuishi kwa siku ishirini na mbili tu. Mercy wangare alijifungua mtoto huyo kabla ya miezi tisa kukamilika na anadai kuwa hali hiyo ilisababishwa na uzembe wa madaktari katika hospitali ya St Teresa Kikuyu. Aidha anadai kifo cha mwanawe kilichangiwa na madakatri wa hospitali ya bellevue south c waliokuwa wakitishia kumuondoa mtoto huyo kwenye kiangulio baada ya mama kushindwa kugharamia matibabu yake.

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 123