Nikupe nini Mungu wangu, nikupe nini we Mwokozi, nikupe nini Bwana wangu cha kukupendeza?
Ninakuomba Mwokozi, nifanyie msamaha na unipokee
Mema unayoyatenda, nitafanya nini mimi, nikurudishie.
Tazama pia Anayekula Mwili wako, Nijaposema kwa Lugha, one of our latest Catholic Music choir songs Kenya and Tanzania.
Waimbaji - Sauti Tamu Melodies
wimbo wa sadaka na matoleo /vipaji
Mtunzi: Basil A Lukando
Mtayarishaji: Martin Mutua Munywoki
Nyimbo nyingine za sadaka maarufu ni pamoja na Sasa wakati umefika, Tazama Bwana tunakuja kwako, sadaka yangu kwako ee Mungu, nitakwenda mimi mwenyewe, Utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe na Sala yangu na ipae mbele yako
#SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipendwa
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 1238
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Nikupe Nini Mungu Wangu | B A Lukando | Sauti Tamu Melodies | Sadaka/Matoleo ~Skiza :