Jumuiya ya nchi za Maziwa Makuu zimekutana jijini mwanza kujadili namna ya kudhibiti utoroshwaji wa madini katika nchi hizo
Hapa Tanzania Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kuwa watu wanahisi wanaweza kutajirika kesho kupitia madini na kuacha shughuli zingine na kujikita kwenye machimbo bila ya ufahamu kuwa madini huwa yanaisha
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على KAULI YA WIZARA KUHUSU UTOROSHWAJI WA MADINI: