المدة الزمنية 3:30

MRISHO GAMBO NAYE NDANI KUWANIA UBUNGE ARUSHA MJINI

بواسطة Mwananchi Digital
2 679 مشاهدة
0
12
تم نشره في 2020/07/14

Wanachama 43 wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Jimbo la Arusha Mjini wamejitokeza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama kiwapitishe kuwania ubunge jimbo hilo. Aliyekua mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo aliyeambatana na familia yake mara baada ya kuchukua fomu alisema amesukumwa na maendeleo makubwa yaliyofanya na serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 6