المدة الزمنية 10:37

DKT. BASHIRU KWA MARA YA KWANZA BUNGENI ATEMA CHECHE, WABUNGE WASHANGILIA

بواسطة Millard Ayo
121 724 مشاهدة
0
616
تم نشره في 2021/05/25

Kutoka Bungeni Dododma leo May 25 Dkt. Bashiru Ally amesimama bungeni na kuchangia kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Mbunge na Rais SAMIA SULUHU HASSANambapo ameliombal Bunge kuweka historia kwa kuibadilisha sekta ya kilimo kwa kuwa na ajenda itakayosukuma mbele sekta ya kilimo nchini kama ilivyofanya kwa upande wa madini na miundombinu ili kuifanya shughuli hiyo kuwa yenye tija.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 291