المدة الزمنية 11:1

KUNA VITU HAVITAENDA MAISHANI MWAKO MPAKA UMEACHANA NA WATU FULANI - PASTOR LEAH AMOS

بواسطة Pastor Leah Amos
6 002 مشاهدة
0
65
تم نشره في 2020/03/18

Naitwa Leah Amos, Mimi ni mchungaji kiongozi wa kanisa la ABC Mount Zion lililopo Mpiji Magohe Mbezi jijini Dar es salaam. Mbali na kuwa mchungaji lakini pia mimi ni mwalimu ambaye anafundisha semina na makongamano mbalimbali pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili. SUBSCRIBE na ubonyeze kengele kwenye channel hii ili upate mafundisho mbalimbali ya Neno la Mungu kila ninapoyaweka. Kwa maombi, maombezi na ushauri wa kiroho nitumie ujumbe mfupi au nipigie kwa simu namba +255 714 494 974. MUNGU akubariki sana.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 22