المدة الزمنية 57:16

NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Mrisho Mpoto 'Mjomba' alipofunguka 'ya kutosha' kuhusu sanaa na soka

بواسطة Azam TV
55 276 مشاهدة
0
315
تم نشره في 2018/09/21

Ni msanii mahiri wa mashairi na nguli mwenye staili ya kipekee ya kughani, Mrisho Mpoto almaarufu 'Mjomba' ndio mgeni kwenye #NyundoyaBaruanMuhuza. Unajua kuwa Mpoto ni shabiki wa Simba SC 'kindakindaki'?Unajua kuwa licha ya kufeli darasa la saba lakini usanii umempeleka kusoma kwenye vyuo vikuu vingi duniani? Unamjua 'Mjomba? aliyekusudiwa kwenye nyimbo yake ya 'Salamu'? Gwiji huyu amefunguka yote hayo kwenye #NyundoyaBaruanMuhuza na ameendea mbali zaidi kwa kuweka ahadi dhidi ya Yanga SC. Tazama mahojiano haya mazito. Nyundo ya Baruan Muhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku, Azam Sports 2.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 53