Mabasi ya mikoani yakitoka stendi kuu ya mabasi ubungo asubuhi kwenda mikoani
COMMENT BUS LINALO ENDA MKOA WAKO HAPO CHINI..
#dodoma #mbeya #kilimanjaro #Arusha #songea #iringa #morogoro #mwanza #bukoba #Tanga #mtwara #kigoma #Tabora #singida #mara
Tazama video nyingine;-
Basi bora zaidi kiwahi kutengenezwa East Africa: /watch/IPz3gZXX5xPX3
Video ya juu drone muonekano wa jiji la Dar es salaam: /watch/Y5mfh_26VDP6f
........................................................................
Asante kwa kutizama video hii tafadhali usiache kusubscribe kwa kubonyeza alama ya kengele hapo juu. Ushirikiano wako ndiyo ukuaji wa channel hii
Thank you for watching but please don't forget to subscribe,comment and share. your support is our progress.
@dutchsafari7562منذ 3 سنواتMpambano Kati ya BM VS KILIMANJARO express nani zaidi?
2
@
@ewaldambrose6136منذ 4 سنواتWell done Tanzania..that is just a temporary bus stand..The unique bus stand is in Mbezi louis..expected to start operating few days to come..is the biggest id="hidden2" class="buttons"> bus stand in Eastern and central Africa..visit there you will see it..has a capacity of hosting 1000 buses at a time..this is Bongoland..This is Tanzania..Viva Magufuli ....وسعت9
@
@piusify4684منذ 4 سنواتNimeipenda hii. Kidia one - Arushaaaaa 1
@
@hamzaazizi5281منذ 4 سنواتSauli,imani,new force, majinjah mbeya moja 3
@
@danieljaphet7818منذ 3 سنواتHapa ndio mkoa wa kigoma, bus kama zote. Hongereni sana madereva na wamiriki wa vyombo vya Moto. 1
@
@yusufbashir7485منذ 4 سنواتNimeina maning nice na H G hapo simchezo 5
@
@abdulzackawami7780منذ 4 سنواتNew force,Super feo,Tavavilli Dar to Tunduma,Ruvuma 6
@edenihongoli5906منذ 4 سنواتZimetoka gari 42 lakini zilikuwa bado zinaendelea kutoka 2
@
@munaahmed8499منذ 3 سنواتTanzania masha allah imebarikiwa mikoa mingi kweli had kufikia magari yote hayo bado kuna yanayorud kam hayo masha allah nimependaa mno Allah anijaalie id="hidden3" class="buttons"> norud salam niende mooan Tanga nipande raha leo ama tashrif jmn Tanga kwetuuu ....وسعت
@
@hanankhalifa8309منذ 4 سنواتNapenda Mda uwo hahaha mnakimbizana yan kushindana 4
@ashaamir4585منذ 4 سنواتSafi sanailafoleni itakuwa changamoto magari yote yatatumia chalinze
@
@josephkitiku3116منذ 3 سنواتUbungo kulikuwa kuzuri na karibu ila mbezi ya magu zaidi ya uzuri 1
@
@renatusmatungwa6800منذ 4 سنواتDah nimependa mpangilio wake sasa cjui huko njiani itakuwaje hasa mabus yanayoenda Mbeya na Mwanza yanapenda kushindana 10
@
@philipo98samuelsamuel16منذ 4 سنواتWazee wa masaa ya mbele sijawaona apo.
@
@mantyara9981منذ 4 سنواتHuo mlango una njia nyembamba sana mamlaka ipanue
@
@machintangachibwena5922منذ 4 سنواتKwa mfumo huo wanavyotoka lazima washindane tuuu 2
@
@samwelmakuni8079منذ 4 سنواتSauti moja ikasikika ikiulza kwani dar kuna nn?
@hamisimuya8620منذ 2 سنواتTumesha isahau hii Yuko viepii sasahivi
@
@ndulamwakitalima7505منذ 4 سنواتIt shows that we can do better with c.c.m 8
@
@friminamkenda7405منذ 4 سنواتChapen h kazi hhhhhhhhhh weken u vyama pemben hya ndo maendleo jMani JPM tunakuombea 2
@
@emmanuelmoshi8168منذ 4 سنواتWapi mnyama simba Newforce sumbawanga fuuuu saa 6 uck net ndani stand
@
@humaidalnaamani4183منذ 4 سنواتHakika mabus ya navyo toka kwa wakati mmoja wa furahisha sana bali kisheria ya hitajika iwekwe kizuizi hakuna mtu kukatisha barabara na atakae katisha id="hidden4" class="buttons"> afanyiwe hatia kwani gari likigonga mtu ni hatari na litapoteza wakati mkubwa kwa zinazo fatia nyuma yake ....وسعت
@
@cosmasdaud9088منذ 4 سنواتNi haki kujengwa stand ya mbezi mabasi Ni mengi 1
@
@neemamusuya7581منذ 4 سنواتChatiko kisiwan gonja daar naiona hapo Nimekumbuka kisiwan Kilimanjaro same
@loner_wolfمنذ 4 سنواتMIMI NAJIULIZA TU KWANI HUYU ALIYERECORD HII KITU ALIKUWA NA UGONJWA GANI . ? kama nawewe unajaribu kuwaza kama mm TUJUANE
@
@lakuchumpa9724منذ 4 سنواتNaona nchi inasimama kwa muda kupisha mabasi yatoke 1
@
@teddyoscar6876منذ 4 سنواتSasa hao watu kusimama hapo karibu kabisa ndio nini? Na wengine wanaruka barabara jamani hatari tupu wakizolewa na basi itakuwaje? Ushamba tuuuu♂️ 1
@
@nasiramour1248منذ 4 سنواتOya mbona la dar to zanzibar sijaliona au macho yangu
@
@leecode6135منذ 4 سنواتno hiyo bus terminal hapo ihame jamani duuuuh vumbi msongamano vurugu tu ebu malizeni ilê terminal kibaha tupumzike duuuuh
@
@hamisiiliyasi3400منذ 3 سنواتInayo kuja bukoba ni afirika lahaa na sabuni
@
@elineokusiluka9683منذ 4 سنواتHivi ligi ya mabas ni Tz tu au na nchi zingine ipo?
@
@simonkusekwa4261منذ 4 سنواتKwani Yote yamejaza Abilia mnieleweahe wapendwa 1
@
@magrethbenjamin4969منذ 4 سنواتKwann wanaka barabaran ivo wanajipitisha pitisha kam malaya mkikgongwa
@
@braysonmakundi1598منذ 4 سنواتYOTE TISA MCHINA NAKUVULIA KOFIA BAS GIAR SITA MWENDO SASA KAMA GARIDOGO APOTU MPOVIZURI
@
@samuelnyabange2069منذ 4 سنواتNimetumia magazijuto, nikapata jumla ya mabasi 76.
@
@siphaellutumo6718منذ 3 سنواتNisingeiona super feo ningesema apo sio tanzania 1
@
@laurentlukosi9786منذ 4 سنواتHapo wanaonekana wastaarabu mbele huko unaweza ukasema ni madereva wengine
@
@kacherosimba5762منذ 4 سنواتAmbaye hajaona basi la kwao hapo tujuane 5
@
@wisdommoshi1908منذ 4 سنواتasee ni mengi na hvi sasa yanahamia mbezi
@
@sulaymanwaziri4455منذ 4 سنواتAcha uongo mabasi yapo 41 na coster 1,, singo yapo 6 na double 35 sijaiona JM yangu
@
@peterkibuga401منذ 4 سنواتsiwezi kuyamiliza kuyataja mana ukiachana yanaoishia iringa lakin yote yapitao barabara kuu iringa t to Zambia yote yananihusu mm apa ya njombe songea tundumA mbeya yote napeta nayo
@
@rinaldaoman7892منذ 2 سنواتMaisha humo Kuna walioshindwa maisha DSM WANARUDI SONGEA MATIMILA KULIMANVIAZI.NA.MIHOGO
@jumasaimon8652منذ 4 سنواتWatu wa mbea alieiona majinja gonga like
@
@shabaniguma8696منذ 4 سنواتAfrican kweli hatari kwahio watu watembea kwa miguu hawana haki useless
@
@teddykanondo5753منذ 4 سنواتCCM mumeiba kura, mumepiga watu, mumeua watu, mumefunga watu kwenye uchaguzi huu lakini na nyie hii miaka 5 tutawachoma sana. Mwenye ulinzi aweke na muwalipe msipowalipa tutawatumia hao kuwachoma.
@
@issaabdallah2417منذ 4 سنواتMabac yote mazur yanamvuto ila kun1 limetia fola au macho yangu yaan baya
2
Nimekumbuka kisiwan Kilimanjaro same
MATIMILA KULIMANVIAZI.NA.MIHOGO