المدة الزمنية 2:18

Mataifa zaidi ya 114 yaathirika na virusi vya corona

بواسطة Citizen TV Kenya
39 721 مشاهدة
0
99
تم نشره في 2020/03/13

Na katika rubaa za kimataifa, virusi vya corona vinaendelea kuzua tumbo joto kisa cha hivi karibuni kikiripotiwa katika nchi jirani ya ethiopia. Na kama kadzo gunga anavyotuarifu, kufikia sasa visa zaidi ya 139,000 vimethibitishwa kote ulimwenguni.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 8