المدة الزمنية 2:7

Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi

بواسطة DW Kiswahili
405 826 مشاهدة
0
920
تم نشره في 2020/10/28

Mgombea ubunge katika jimbo la Kawe, kwa tiketi ya chama cha upinzani CHADEMA Halima Mdee, amelalamikia udanganyifu katika kupiga kura ambapo anasema alishuhudia mwenyewe udanganyifu huo. Hata hivyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Tanzania Jaji Semistocles Kaijage amesema mbele ya waandishi wa habari kuwa taarifa za kukamatwa kwa kura feki ni uzushi na siyo za kweli. Kurunzi 28.10.2020

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1203