🔴#LIVE: MASHABIKI wa YANGA Watoa POVU Baada ya SARE na KAGERA SUGAR, Wamvaa KOCHA...
Mtanange wa ligi kuu Tanzania bara mzunguko wa pili kati ya YANGA SC vs KAGERA SUGAR, umechezwa leo Februari 17, katika uwanja wa Mkapa jijini Dar..
Dakika 90 za mtanange huo zimemalizika kwa sare ya ( 3 - 3)...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@hajiliparapate64843 years agoHahahaaaaa! Utopolo bhana , penalty ya mbea city walisema alishika nje ya box na Leo wanasema ilikuwa halali jmniiiiii, hamieni chama kubwa basiiiii!!! 🐅🐅🐅🐅 Wanaomkubali mnyama wajaze like hapaaaaaa!!! 2
@
@swedially49113 years agoKama umesikia kocha mpumbavu weka like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 41
@
@syksyk72953 years agoMkshnda saaaf marefa hawachangii mktoa sare marefalii wanachangi eeeh?!! 1
@
@paschaeltilas93693 years agoKam Simba ananunua mechi tuuuzien na mechi ynu xx tunahtaj kombe 22
@
@mkubwamasoud27763 years agoKama mko vizuri basi ungeshinda bila makando
@
@mamboeliazery81963 years agoKwa niyonzima n kwel kwann hampagi kama wana bifu aseme
@
@hamzasaidi30553 years agoZanzibar mtashuka daraja hamuwawezi hao 3
@
@shukurupazia84203 years agoWa bongo hatuna mioyo ya kiume Liverpool kapoteza mechi 4 mfururizo Sasa ingekua yanga au Simba watu roho singewatoka mpira unapotokeo 3 pia kila timu inataka ushindi siyo kila sïkù washende Simba au yanga 12
@
@noahmathew79873 years agombona mkishinda hamlalamiki kuwa mmebebwa yaani kila mech mnalalamika
@
@ahmadjuma38163 years agoZanzibar huku hatuwataki mshabiki gani wa mpira unasema utauwa mtu unapenda Sana timu kuliko mpira pole ndio matokeo ya mpira
@
@mrliverpoolynwa76413 years agoSafi DAUDI YANGA well said,ww ndo shabiki sasa wa ukweli.YNWA 4
@
@voisaclassic94603 years agoMashabiki wa yanga wapo wa aina tatu 1;wao ndo makocha 2;-wanaonewa wao tu 3;-wao ndo mashabiki 6
@
@novatusnolasco70703 years agoMasikini yani mechi ya yanga vs kagera wanaitaja simba kama sio uzwazwa ni nn 8
@
@beaugosseadam68313 years agoMtatafutana wenyewe!! Mpira wa miguu sio maneno. Ni uwanjani. Kufunga, kufungwa na droo! 11
@
@salumabdalla48403 years agoKiukweli. Hatauyo kochà nae ajielewe saingine.wachezaji wamatokeo. Anawaweka benchi au kahongwa ilitimu ifanye vibaya. Ajiangalie bwana
@
@swedially49113 years agoUstadhi Ana hamu ya kuolewa na Manyapara 1
@
@daimonimbalwa29003 years agoHata mechi ya mbeya aliye haribu kocha
@
@daimonimbalwa29003 years agoKocha mshenzi hata mbey aritujum kocha
@
@andulilemwakihabha20483 years agoUtopolo kila game mshinde kwa penalty eti tunahujumiwa kwa mpira upi huo ubingwa msahau 7
@
@rajabujuma69163 years agoTimu yenu mbovu brother usipaniki" 9
@
@mwanyemishemweta8483 years agoKelele nyingi lakini mpira uwanjani unaonekana anaecheza na anaebebwa anaonekana
@
@onesmojustice23483 years agoNdio maana marekani weusi hawathaminiki😀 9
@
@maammudmohammad43063 years agopovu tu malalamiko fc anzisheni ligi yenu muitolee jina visit kidimbwi cup
@
@drankskhally70193 years agoMsiingie na matokeo uwanjani hakuna mkono Wala mguu
@
@swedially49113 years agoWe Ni Nani?Na utafungwa kweli ukaolewe na Manyapara kule na midevu yako. Mpira sio ugomvi, we toa maoni yafanyiwe kazi. 7
@
@khalfanifarisy30373 years agoHuyu jamaa mwenye nzura, Dini imemshinda. Sasa hivi Dini yake Yanga duh! Mtihani. Allah amuongoze 1
@
@chrislameck14363 years agoUmelazimishwa we pimbi kweli nunueni na nyinyi
@
@frankjoely33133 years agoUtakufa kweli we unafikiri nchi hii inaendeshwa kwa mihemko.utadundwa hadi ujinyee lete fujo uone😂😂
@
@naimunaimu23123 years agoZungmzia na ile ya Faisal na nchimbi😁😁😁😁😂😂😂
@
@exaverykapiry18113 years agoUkisema caria ni mwana Simba mbona waziri wa michezo ni Yanga mbona hatujaongea
@
@benjaminenyasanga21953 years agommeruhusu goli tatu wenyewe alafu mnasema mmehujumiwa.... acheni uzuzu. simply fact ni kwamba kaze ndio amezingua ktk uchaguzi wa kikosi, ukiona mechi mnategemea matuta kushinda bhasii mshaanza kuchujaa
@
@wilsonkimaro63753 years agoSimba inakujaje kwenye kidimbwi chenu waruwaru hii
@
@siwajibutweve96853 years agoaoooooh matako tuuuuuuuu smb baba. laooooooo wambireee
@
@fadhilimussa78413 years agoMm nisimba ila wachezaj yanga wapunguze hasra wakifungwa hupotea kabisa nahao wagen hakuna kitu mfungaji Bora kaseke du
@
@paulmasanja70553 years agoSenge kweli hili jamaa linalilia nini sijui mpk watoto wanaona dingi linalia na bado mtakufaa simba nguvu moja 4
@
@swabriomar30413 years agohawa jamaa kweli wamechanganyikiwa mpaka wanava jerzy ya power dynamos kutoka zambia naona watavaa za al ahly next time
@
@rabsontryphon92543 years agoBado mtalia sana vyura wa jangwan si unajua tena masika vyura kulia ndo mda wake 😄😄😄😄 3
@
@hidayahassan80143 years agoMwl badilika kama sivyo uwanjani mtaenda benchi la ufundi nawachezaji wenu ndomtaenda uwanjani😔😔 1
@
@drankskhally70193 years agoMapofu yanawatoka poleni hakuna ubigwa tena
@
@josephgomalo413 years agoPenalti ya Kisila haikuwa halali.. yule beki wa kagera aliweka mkono kwenye mwili.. hakuinua mkono na alikuwa anageuka mpira ulipompiga.. kwa hiyo ni ball to hand.. na sio hand to ball .. hakuunawa mpira.. kwa hiyo siku zote Yanga wanapolaumu marefa waangalie na pale refa anapopitiwa na sheria akawazawadia wao pia.. penalti ya Kisila haikuwa halali pia! ...2
@
@sadikingonyani3153 years agoMANARA ALISEMA MTAKUJA KUPIGANA SIKU SI NYINGI.. HAO WACHEZAJI MLIWAPOKEA KAMA WAFARUME
@
@mwanahamisikijangwa34603 years agoMmeanza 😃😃lkn si mnaongoza ligi jamani
@
@benjaminpatrick63643 years agoHuwezii fnyaaa chochoteee kaleee family ukooo 1
@
@lennykiganga47633 years agoAf simba kahusikaj hapo aje nyie mngekua simba iliyofungw mechi mbili mnvekua na hali gan. msitafute huruma ya marefa ban mpir hauchezw chumban unachezw kweny pitch kil mtu anaona hata firsthalf mlizidiw af mnalialia nn cha ajabu midume madem wapo kimy ukion unalalamika kutafuta huruma ya refa au kulia uwanjan kulik hat dem wak ww sio mwanaume bana ww ni pisi kali ...1
@
@isackmwaluko84973 years agoKosa ni la kocha Bado anajaribu wachezaji ligi inaenda Kwisha..hana kikosi cha kwanza mpaka Leo..mkoko anakaa benchi zawadi mauya anaanza...wakina nhimbi hafungagi huyo hata ukiondoa gorikipa..ubwege mtupu
@
@josepheleteuskumburu64033 years agoHaha inawauma ila una bidi mzoee sima dam
@
@ahmedadan19153 years agoHlf kama simba hana nunua mchezo inamaana hata hile mechi ya vita fc ya Congo walinunua wacheni ujinga mmefilisika akili
@
@isharagerlad23113 years agoKocha kaze anataka kushindwa kazi hawezi kupanga kikosi anavyotaka yeye Mimi naona achunguzwe nahisi anakua amebeti!!! Kwenye Vita huezi kutanguliza Mgambo ukitegemea ushindi!! Inauma Sana Mimi mpaka leo Sina raha moyoni .ushabiki shida unawezaje kukosa HATA ham ya vyote!!! ...
@
@sundaysindole19783 years agoTutahitaji ushahidi wa huo muamala wa M'pesa unaodai kuwa umefanyika. Wakuue hiyo timu ya baba ako? 2
@
@andulilemwakihabha20483 years agoUtopolo itabidi mshukuru hata iyo sare Mana kipindi Cha kwanza utopolo mmecheza nusu uwanja 🤣🤣💪🏻 2
@
@christophermachonchory45003 years agoMaskini yanga kwakweli mnasikitisha sasa mnalilia penalty, mara kuna maelekezo ujinga ukiwatoka, mtajua mpira unamatokeo matatu. 1
@davidgasper87943 years agoShida ya nyiee yanga kila mtu anajua mpira
@
@mandeladaimu96833 years agoHawa jamaa wanahamasisha vurugu Afande Mambosasa unawasikia wachochezi hawa,
@
@rehemakisalambi31953 years agoMkishinda hamuongei ila yanga hawataki matokeo yanayotokea pambaneni na hali yanu 1
@
@onesmojustice23483 years agoShida iko ndani yanga hakuna cha refa wala nini wachezaji hawako kabisa mchezoni kuna kitu hapa. 1
@
@nedkatunge57023 years agoWashabiki wa yanga wote wapelekwe mirembe wakapimwe akili si bure
@
@mchiziboti75943 years agoYanii namtapata ugonjwa wa moyo sana mwaka huu,mtaumia vizuri mkipigwa mechi ijayo na mtibwa,kesho tunampiga mtu,tunawapumulia kisogo 2
@
@dismasjohnas59703 years agoPoleni sana yanga maana hamjui mlitendalo
@
@josephvenus32593 years ago😂😂😂😂 Utopolooo fc mtakufa na pressure mwaka huu 2
@
@onesmojustice23483 years agoIla majeneza ushabiki wako mi siwezi mpaka unalia ongea kiume wewe timu ibadilike 1
@
@mrliverpoolynwa76413 years agoHuyu bwege kweli cjui wa wapi,ulaya haangaliagi mechi.YNWA 1
@
@lansonmlehele72483 years agoAchen gubu ndio maana kocha wenu mzungu aliwatukana matusi ya kibaguzi 1
@
@pambasr23453 years agoJamaa wanafaa kukodiwa misibani maana sinkwa vilio hivi?
مقاطع الفيديو ذات الصلة على LIVE: MASHABIKI wa YANGA Watoa POVU Baada ya SARE na KAGERA SUGAR, Wamvaa KOCHA:
1;wao ndo makocha
2;-wanaonewa wao tu
3;-wao ndo mashabiki 6
simply fact ni kwamba kaze ndio amezingua ktk uchaguzi wa kikosi, ukiona mechi mnategemea matuta kushinda bhasii mshaanza kuchujaa