المدة الزمنية 15:26

Mpango wa INUA JAMII kuwapa pesa wazee, walemavu na mayatima

بواسطة Citizen TV Kenya
1 824 مشاهدة
0
10
تم نشره في 2019/11/15

Waziri wa eba na ulinzi wa jamii balozi Ukur Yatani anazindua mpango wa shilingi bilioni 8.7chini ya mpango wa INUA JAMII ambapo wasiojiweza katika jamii, wazee, walemavu na mayatima wanafaidi malipo ya kila mwezi kutoka kwa serikali. Hii leo malipo ya mwezi wa Julai, Agosti,Septemba na Oktoba. #SemanaCitizen

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 5